Recent content by Ninja 1

  1. N

    Otoplasty surgery inafanyika Tanzania?

    Hamna mkuu unakuta wengine masikio yanachomoza kupita kiasi
  2. N

    Otoplasty surgery inafanyika Tanzania?

    Mkuu nielezee kidogo basi kuhusu iyo hospitali
  3. N

    Otoplasty surgery inafanyika Tanzania?

    surgery ambayo hufanywa kurekebisha muonekano wa masikio
  4. N

    Otoplasty surgery inafanyika Tanzania?

    Je otoplasty surgery inafanyika Tanzania? Kama ndio, ni hospitali gani na kiasi gani cha fedha? kwa yeyote anayefaham tujuzane. Nawasilisha
  5. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    asante sana mkuu??
  6. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    asante sana mkuu! mwenyezi akuzidishie
  7. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    amna! kazi za hapa na pale tu za factory
  8. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    sio sababu mkuu kuna wengi tu nimewazidi urefu wanapiga kazi ndan umo ..
  9. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    kuna factory moja jirani apa mkuu
  10. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    mkuu sio kama ni mfupi kivile, nna medium height ila ndo ivyo naonekana dogo
  11. N

    Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

    Mimi ni kijana ninayekaribia miaka 20 sasa lakini kutokana na kuwa na mwili mdogo, naonekana kama mtoto wa miaka 16 na mara nyingi nimekuwa nikikataliwa ninapoenda kuomba kazi, inaniuma sana ..
  12. N

    GE2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

    haijajulikana bado lakini alitangaza nia ya kumchallenge JPM
  13. N

    GE2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

    mchango wako mkuu! we unadhan ni uhuru gan
  14. N

    GE2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

    kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, former minister of foreign affairs BENARD MEMBE, alizungumza na kituo cha habari cha BBC news na kuweka wazi nia yake ya kutaka kugombea urais kwa tiketi ya kusema kuwa anadai uhuru .. sasa swali ni je, uhuru gani anaodai mzee wetu benard membe ...
Back
Top Bottom