Mzeeee wa decoy uchwara.
Angekuwa U.S kashindwa ungejidai wameshindwa Ila kwa Russia na Decoy.
Mtabadili maneno mpaka basi ila.hamtoboi.
Judgement day ni lini tena Sheeh
Wewe hujaenda jeshini Wala nn.ni mjinga mjinga upo kwenye kijiwe chini ya nguzo ya umeme.mnadanganyana eeeeh ile kwenda Kiev ni decoy.
Mkifurumushwa kheson na mariuopol tutakuuliza tena utasema decoy ya ushuzi.
Lala upewe chai,ukapige umbea kijiweni tena
Case ya us na Vietcong ni sawa kabisa na Ukraine na Russsiakimba.
Huwezi kuvamia nchi ya watu ukidai et unakuja kuwatetea sijui.wataungana na kukufurumusha kwa aibu na hasara.
Mpuuzi putooo ni fala wa Karne ya sasa.
Asante kwa mipasho.kama ningekuuliza hili swali 29/2/ basi hii insha ungechambia mwenyewe muda huuu mnafirimbwa huko mmeanza kubadili maneno.
Mlifata nn Kiev?
Kutest zali eeeh !.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.