Recent content by nimno

  1. N

    Ndugu katika imaan, inakuwaje nchi ya kiislamu maiti iwekwe wiki nzima bila kuzikwa?

    Naomba unifahamishe mkuu raisi wa Iran huwa anapatikana kidemocras au kwa mfumo upi
  2. N

    PreGE2025 Nipo kwenye hatua za mwisho za kusajili chama kipya cha siasa kitakachoing'oa CCM kabla 2025. Nahitaji vijana 10 tu kutoka kila mkoa

    Basi mimi nipo kigoma nilijaribu mpaka leo ni mwanachama wa act wazalendo lakini sikielewi hichi chama changu kinasimamia kitu gani
  3. N

    Nape Nnauye: Hatukuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe

    Kiongozi kwani unauhakika sio nape mwenyewe huyu?
  4. N

    PreGE2025 Uchaguzi mkuu ujao upinzani Tanzania uunganishe nguvu au wagombee hivi hivi kiholela kama kawaida?

    Apo kila chama kinaangalia maslahi yake hawapo kwa maslahi ya uma wala taifa
  5. N

    Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

    Nnchi zetu za africa viongozi huwa hawataki kuwajibika kwa wenzetu kukosekana kwa huduma ya intanet uwajibikaji ungekuwepo
  6. N

    Halima Mdee kushawishi Covid-19 kurudi CHADEMA, je Wasamehewe na Chama au Wananchi?

    Mimi naommba kufahamishwa nafasi ya mwenyekiti wa bawacha taifa iliishajazwa au bado?
  7. N

    Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

    Kutongoza kuna matokeo mawili kukubaliwa na kukataliwa pia kwaiyo unapomtongoza mwanamke nenda na hayo mambo mawili hutokuja kujutia mitongozo
  8. N

    PreGE2025 Lissu atakuwa mtu wa aina gani? Mbowe alimpambania akiwa hoi, Samia akaenda kumuona Nairobi, leo kawaandalia hotuba za kuwatukana

    Kwaiyo mlienda kumuona ili kumziba mdomo asiseme hata kama anayoongea ni ya kweli?
  9. N

    Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Kwamba simba mpaka sasa tatizo lao ni kocha? Maana katika hii misimu mitatu kama sijakosea tayari makocha watakuwa sita au saba na huyo atakuwa wa nane
  10. N

    Nani yuko nyuma ya Lissu kwenye hizi chuki wanaoneza kuhusu Uzanzibari na Utanganyika?

    Nafikili mtoa mada atakuwa amepata jibu kuwa ni watanganyika ndio wako nyumba ya lissu kutokana na comment zilizotolewa na wachanfiaji
Back
Top Bottom