Recent content by Nimependwa na Yesu Kristo

  1. N

    JamiiForums Tanzania Fundi mzuri wa Piano Dar es Salaam

    Wadau, naomba , kwa anayefahamu chochote kuhusu hili tafadhali.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Fundi mzuri wa Piano Dar es Salaam

    Habari ya uzima, wandugu, Nina uhitaji wa fundi mzuri wa piano , kwa yeyote ambaye anafahamu fundi mzuri wa piano popote pale Dar es salaam , tafadhali naomba nielekeze anapopatikana na kushare pia mawasiliano yake. Asante kwa ushirikiano.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Je, kuna shule yoyote ya Msingi au Sekondari inayofundisha kwa mfumo wa "Project Based Learning" nchini Tanzania?

    Wakuu, Naomba kujua kama kuna mtu ambaye anajua options zingine zaidi ya hizi ambazo zimekuwa shared hapo juu. Naomba share shule yoyote unayoijua inayotumia project based learning or hands on activities iwe ni ya NECTA, Cambridge au curricullum yoyote nyingine. Asante
  4. N

    JamiiForums Tanzania Shule za English medium zisizo na remedial za lazima

    wakuu , kuna yeyote anejua shule zaidi ambazo zinafuata mtaala wa NECTA , na hazina mambo ya remedial kwa darasa la 4 na la 7? Tafadhali naomba kujuzwa. asante sana
  5. N

    JamiiForums Tanzania Shule za English medium zisizo na remedial za lazima

    wakuu , kuna yeyeote anejua shule zaidi ambazo zinafuata mtaala wa NECTA , na hazina mambo ya remedial kwa darasa la 4 na la 7? Tafadhali naomba kujuzwa. asante sana
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kuona kombe la Dunia kupitia TBC1 katika king'amuzi cha Antena cha Azam

    Habari wajumbe, Naomba kujuzwa kama wanaomiliki ving'amuzi vya Azam vya Antena , wanaweza kuona mechi kadhaa zinazorushwa na TBC1 za Kombe la Dunia. maana nimekuwa nikisikia taarifa zinazokinzana, kuna wale wanaosema , unaweza ukaona na wengine wanasema Azam wanablock TBC1 wakati wa mechi...
Back
Top Bottom