Recent content by Nikukumbushe

  1. N

    Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

    Sumaye anaeleweka kwa wenye akili za kufikiria nje ya boksi! Hawezi kumwelewa,kwa nini,kwa sababu,kasoma uchumi chuo kikuu,bado haielewi kwa nini Tz ni maskini,Kawa rais kwa miaka 10 bado hajui kwa nini Tz ni maskini. Hawezi kumwelewa Sumaye
  2. N

    Kukubalika kwa Lowassa: Pesa, Ujinga, Upumbavu au kuichukia CCM?

    Kuichukia CCM,no more no less.
  3. N

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Anataka aitwe kuwa unataka cheo gani kama sio shilingi ngapi. Hafai,nilkuwa namuona mzalendo kumbe mchumia tumbo kama akina Nape ,Paul Makonda,Zitto kabwe,Hamad Rashid,Arf said,Shibuda nk
  4. N

    Kinachomsukuma Lowassa kuupata Urais kwa udi na uvumba: kulinda ill gotten gains!

    Mmepanic,UKAWA wanaingia Ikulu,lazima mnyee debe awamu hii
  5. N

    Urafiki wa Lukuvi na Magufuli umeanza lini?

    Hata mimii nimeshangaa. Unafiki mtupu
  6. N

    Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!

    Haya sasa kwenu wale 11 waliosemwa
  7. N

    Edward Lowassa special thread

    Mzee kingungwe alisema patachimbika,mbona kimya
  8. N

    Pinda akiwa Rais, mtamuona Kikwete ni bora zaidi

    Yaani yeye mafisadi hatawagusa hata kidogo kwa kuwa anaogopa nchi kutikisika. Issue ya mafisadi wamuachie Dr slaa ndio anawezea mambo haya.
  9. N

    Pinda akiwa Rais, mtamuona Kikwete ni bora zaidi

    Pinda hana uwezo wa kutafakari akibanwa ndio maana matokeo yake ni kuropoka tu kauli zinazogharimu maisha ya watz kinyume na katiba. Piga tu,liwalo na liwe moja ya kauli zake uliona na unaona madhara yake.
  10. N

    Pinda akiwa Rais, mtamuona Kikwete ni bora zaidi

    Kwa sura yake ile alitakuwa kuwa mtu mwenye misimamo nk. Sura yake haitendei haki kabisa.
  11. N

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Hakuna msafi CCM
  12. N

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Lowasa ni ovyo kabisa mkuu.
Back
Top Bottom