Recent content by nikoartsan

  1. N

    Naomba kufahamu eneo la sqm 165 total cost kuweka pavings!

    8250 hizo ndio zitatosha lakin unaweza weka na za ziada 200
  2. N

    Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Kwa uo mchoro Mzee 20 million aizd japo materials yamesmama
  3. N

    Msaada: Naomba makadirio ya hizi nyumba

    Nicheki Kwa 0659717965
  4. N

    Msaada wa mawazo, nina 5,500,000 naweza kujenga nyumba ya aina gani?

    Kwa iyo ela vyumba vitatu niongo kutoboa may be Kwa msingi unaweza kufikia Marengo kihasi flan ila unaweza kutengeza nyumba ya kuanzia ya vyumba ata viwili pamoja na sebre na choo tofar 1500 cement 35 plus nondo na ela ya kazi apo unaweza kutoboa Kwa boma ..
  5. N

    Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Je raman yake unayo au unataka rondmly approximation na jins ya kuminimize cost tu
  6. N

    Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

    Concrete gutter au duct way ni Bora uiweke pemben sana coz apo itakuja leta shida ata kama sio Kwa haraka ila unyenyevu utakua mwing au utmie nylon kulitandika apo chin then umwage kizege umix na sikalite apo Kwa ninvyo Fanya mkuu nimeona matokeo
  7. N

    Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

    Na bitumen au bitumat kazi yake kuzuia kutu na kuoza Kwa bati sindio mkuu
  8. N

    Ninamtafuta mtu wa kuchora ramani tuyajenge

    Na Kwa BoQ zote nicheki pia
Back
Top Bottom