Kwa iyo ela vyumba vitatu niongo kutoboa may be Kwa msingi unaweza kufikia Marengo kihasi flan ila unaweza kutengeza nyumba ya kuanzia ya vyumba ata viwili pamoja na sebre na choo tofar 1500 cement 35 plus nondo na ela ya kazi apo unaweza kutoboa Kwa boma ..
Concrete gutter au duct way ni Bora uiweke pemben sana coz apo itakuja leta shida ata kama sio Kwa haraka ila unyenyevu utakua mwing au utmie nylon kulitandika apo chin then umwage kizege umix na sikalite apo Kwa ninvyo Fanya mkuu nimeona matokeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.