Recent content by nigwa

  1. nigwa

    JamiiForums Tanzania Shida kwenye baadhi ya namba za Airtel kuziwekea hela.

    Kuna baadhi ya namba zimeungwa lipa namba huwa inakuwa ivyo
  2. nigwa

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukikutana na hayo maneno unavurugwa hatar
  3. nigwa

    JamiiForums Tanzania Yanga acheni kuhangaika na Feisal, ni ushamba

    Namm nashangaa haya mambo, watanzania tuwe na tabia ya kuwa na subira kwenye mambo mbalimbali , kuhusu hili sakata mpaka sasa hakuna taarifa rasmi, yanga wako kimya , azam wako kimya na Feisal pia yuko kimya, tunaoleta updates kila wakat ni sisi wapiga mdomo wa vijiweni , nilimuuliza mleta mada...
  4. nigwa

    JamiiForums Tanzania Yanga acheni kuhangaika na Feisal, ni ushamba

    Sijaelewa hapa, yanga wanahangaika na Feisal kivipi?
  5. nigwa

    JamiiForums Tanzania Nadaiwa Bilioni 4 benki, sina kitu hali iliniendea vibaya. Naomba ushauri

    Nilivyomuelewa mimi ni kwamba kwa sasa hana chochote labda kama sijamwelewa vizuri, lakini watu wengi wanashauri aanze upya atoke nje ya nchi. Sasa atawezaje kuanza upya na kutoka nje ya nchi wakati hana chochote, nafikiri anataka apatiwe mwongozo kama kuanza upya aanze vipi? Ndiyo maana anaomba...
  6. nigwa

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ungetaja na kampuni
  7. nigwa

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuhusu handcap unachukulia kama vile game ilishaanza na timu moja "imepata magoli" au "imefungwa magoli" Mf: man city vs Fulham unaenda kwenye hzo options za handcap utaona ~1(Home-1) maana yake unachukulia timu ya nyumbani imefungwa goli moja tayar lakin umeipa ishinde , kwahyo ikicheza mechi...
  8. nigwa

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unaingia kwenye kampuni ya kubeti mf. Betpawa unaweka mkeka wa mechi moja , halafu unaifuta kwa kubofya neno "clearbetslip" baada ya kufuta utaona maandishi yanasomeka "booking code" unabofya hapo kwenye chumba cha wazi chini kidogo ya hilo neno "booking code" unaandika code ulizonazo halafu...
  9. nigwa

    JamiiForums Tanzania Paza sauti Mtanzania Kocha Nabi afukuzwe kazi mara moja

    Sisi tumekuachia ww utuwakilishe, ukipaza ww sauti inatosha utasikika
  10. nigwa

    JamiiForums Tanzania Paza sauti Mtanzania Kocha Nabi afukuzwe kazi mara moja

    Wengi nawaona wanasema ivyo 22/10 mwisho wa safar yake. Vipi yanga wameacha kutumia bahasha tena? si tumekubaliana kila wanapokutana yanga na simba , simba itafungwa kwakuwa wanatembeza bahasha.
  11. nigwa

    JamiiForums Tanzania Paza sauti Mtanzania Kocha Nabi afukuzwe kazi mara moja

    Ihefu, mbeya kwanza pamoja na makolo , mbona makolo unawasahau
  12. nigwa

    JamiiForums Tanzania Nabi siyo Kocha, anapanga timu kwa kufata kelele za mashabiki

    Yaan hukumbuki km yanga aliifunga zalan....!! kweli unasahau haraka sana
  13. nigwa

    JamiiForums Tanzania Nabi siyo Kocha, anapanga timu kwa kufata kelele za mashabiki

    Kuamin km kila yanga anapofungwa ni kwamba haina uwezo lakini inaposhinda wanatoa hongo huo ni ushabiki maandazi...!! huwa hoja km hz sinaga muda wa kuzijadili
  14. nigwa

    JamiiForums Tanzania Nabi siyo Kocha, anapanga timu kwa kufata kelele za mashabiki

    Tatzo bongo kila mtu ana akili sana kuliko wengine wote, linapofika suala la matokeo ya mpira ukomavu unahitajika sana kuliko mihemko, leo hii simba wanafanya vizur wanaishambulia yanga kila sehemu lakin ikifungwa mechi moja utaona wanauliza lile swali lao "Matola anafanya nn hapo simba ? "
Back
Top Bottom