Recent content by nicole0216

  1. N

    Nipo Dar, Nahitaji mbegu nzuri ya sungura

    Nahitaji chotara na kienyeji ili niendelee kufanya cross breeding mwenyewe. Lakini pia naomba na darasa zaidi la ufugaji wa hao viumbe maana ndio nataka nianze.
  2. N

    Nipo Dar, Nahitaji mbegu nzuri ya sungura

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta mbegu ya sungura kwaajili ya kufuga mimi binafsi. Naomba kufahamu na bei ikoje???
  3. N

    Tetemeko kubwa la Ardhi laikumba mikoa ya Mwanza, Kagera...

    Kuna taarifa kuwa kwa mikoa ya Geita,Bukoba na Mwanza kumetokea tetemeko. Kwa waliopo maeneo hayo tajwa tafadhali mtujuze kama kweli kumetokea hiyo hali.
  4. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba kwa aliye na access ya lile group la WhatsApp la kubet naomba aniadd kwa namba 0658283200
  5. N

    Wazeeee wa kubett

    Hivi lile group la WhatsApp kwa wanaobet lipo kweli???
  6. N

    Biashara ya kutotoa na kuuza vifaranga

    Mbona hauleti mrejesho, maana wahitaji ni wengi
Back
Top Bottom