Recent content by nicol alfred

  1. N

    Binti aliye-athirika na ukimwi anatafutwa (job: Kuhamasisha vijana)

    kwa nin hzo kaz msiwape social workers na counselor mtu aliyeathirika kama yeye mwenyewe hajapata counseling ya kutosha atafanya nin jaman hebu muwe na uelewa ni gonjwa kama mengine ila co krahsi hvyo atatoa blablaa bt hana skills za ktosha na yy mwenyewe counseling haishii anapopma ni...
  2. N

    Are you seriously seeking for a job!!!Ona hii

    ni kweli inasikitisha lakin lazima 2jiulize anapenda?! Hakuna anayependa hivyo ila ni elimu yetu mbovu ya kibongo na percent kubwa ya wanaojua ngeli huwa hawana akili ila mbwembwe nyingi kujua kingereza co ndo uwezo wa ujuz unakuta mtu hajui kingereza lakin ana skillz za ktosha na uwezo mkubwa...
  3. N

    Are you seriously seeking for a job!!!Ona hii

    ila sio fresh wala nini we kama humpi kazi piga kmya atapewa na wengne co mpaka umlete hapa hata ww ulianzia huku hukuzaliwa unajua tena yawezekana chako kilikuwa kibaya zaid hizi lugha za watu co za bongo ndo mana wasahihishaji hawangalii unajua kingereza wanangalia ulitaka kusema nini ingekuwa...
  4. N

    touch down likizo

    jaman naomben mnijuze juu ya hii kampun inayoitwa touch down likizo iko karibu na office ya UNESCO kuwa inashughulika na nini nimeitwa kweny interview upande wa sales executive
  5. N

    nafasi za kazi Freelance Field Marketing Executives kwa siku elfu kumi

    naomba unisaidia kunpa email yaku2ma cv nimeambiwa bt kuna sehemu kuna alama ambyo cjaielewa
  6. N

    Kigwangalla: Mbowe mjinga, mpuuzi, ametia aibu na kushikishwa adabu...!

    hata kama ana stress lakin mtu mzima unayejua taifa linakuangalia wewe hustaili kuongea kashifa na maneno ya kihuni mbele za watu hizo ni stress zake yeye yako mambo kibao ya kufanyia kazi yanaacha kujadiliwa yanajadiliwa wa2 na siasa lazima tulifanyie kaz hili 2015 bila hivyo tunaelekea kubaya
  7. N

    Hivi jamani tanzania postal bank wameita watu nafasi za sales?

    c kwel kuwa kuna nafas wa2 wamepewa we vumilia cz bdo hawajaita
  8. N

    Nafasi ya kazi Arusha

    me nataka 0766454869
Back
Top Bottom