Mahitaji__unga wa ngano, bicarbonate, amira, sukari, mafuta ya kupikia, maziwa fresh, maji vuguvugu, HATUA 01 (Changany unga, bicarbonate, sukari, amira,maziwa na maji vuguvugu hadi mchanganyiko uwe kikando) HATUA 02 (Chemsha mafut ili kuondoa harufu iliyopo...