Vile vichwa wewe, unataka kumfananisha mtu wa darasa la saba na mtu wa chuo kikuu..!? yule anatafuta kula hela za wajinga ili aendelee kuipatia familia yake elimu, na mtazichanga sana tu hivyo vi miamia..!!
Yote ameleta lema, wakati ule hawa watu walipogoma yeye aliwatetea eti wapaki wapi.!? na barabara mbadala zipo ila watu wamegeuza ni mahali pa kupaki magari yao, wamachinga kufanyia biashara zao yote ni lema ameleta.! yaani jiji limekuwa kama zizi, haohao madereva wanakojoa barabarani hovyo na...
Kwa upande wangu sioni tatizo kuongea na wazee ila dar es salaam peke yake ndio kuna wazee..!? au kuna siri gani kati ya jk na hao wazee au ndio kulindana..!!
Pole mtoto, nafikiri walikwenda kwa babu wakaambiwa wakutoe wawe matajiri lakini mungu aliyekuleta duniani hakuona kosa lako, serikali itoe adhabu kali kwa wahusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.