Recent content by nicho6ers

  1. N

    Mume wangu haniridhishi ktk tendo la ndoa.

    Dah!huu ndio ushauri ambao ameomba au?
  2. N

    Toka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi

    Yote yanayoendelea kwa sasa ni muhimu kwa mustakabali wa nchi vita dhidi ya madawa ya kulevya iendelee hata kama mbinu zitabadilika na Makonda achunguzwe na kama atapatikana na hatia apewe haki yake.
  3. N

    Toka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi

    Umewatusi watanzania wote maana hata wale wateuliwa hawakupinga maazimio.
  4. N

    Baada ya kumdhibiti Makonda, nisisikie mtu akilalamika juu ya madawa ya kulevya!

    Kwa hiyo kama orodha ndio ile unadhani kwa nini imeandikwa na mtu kama anaekimbia kulowana na mvua.maana majina yanakosewa,zimetumika aka bila majina halisi na mengine jina mojamoja.
  5. N

    Dr. Kashilila: Maazimio ya Bunge kutaka RC Makonda kuja bungeni, hayakufuata Sheria

    Kwa hiyo hoja ndio itakuwa imekufa au bado wananafasi ya kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza ili hoja iendelee kuwa hai?
  6. N

    Sakata la Lissu: Wabunge wa Upinzani watoka nje ya Ukumbi wa Bunge

    Ikisha fikia hapo unapohitaji ujue na huku nje amani kidogo iliyobaki haitokuwapo tena ujue.
  7. N

    Sakata la Lissu: Wabunge wa Upinzani watoka nje ya Ukumbi wa Bunge

    Siasa zenye tija kwao ndio zipi katika mazingira haya?
  8. N

    Sakata la Lissu: Wabunge wa Upinzani watoka nje ya Ukumbi wa Bunge

    Kwa nini amewafukuza hao watatu?
  9. N

    Sakata la Lissu: Wabunge wa Upinzani watoka nje ya Ukumbi wa Bunge

    Ni kweli zipo sheria na kanuni lakini waliopewa mamlaka ya kuzisimamia hawafanyi hivyo sasa unafanyaje kwenye mazingira haya?
Back
Top Bottom