Yote yanayoendelea kwa sasa ni muhimu kwa mustakabali wa nchi vita dhidi ya madawa ya kulevya iendelee hata kama mbinu zitabadilika na Makonda achunguzwe na kama atapatikana na hatia apewe haki yake.
Kwa hiyo kama orodha ndio ile unadhani kwa nini imeandikwa na mtu kama anaekimbia kulowana na mvua.maana majina yanakosewa,zimetumika aka bila majina halisi na mengine jina mojamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.