Recent content by niceone

  1. N

    Nahitaji kumpa mimba anayetaka mimba ili afute machozi

    ni rahisi kusoma ila ngumu kuelewa
  2. N

    Nahitaji kumpa mimba anayetaka mimba ili afute machozi

    ni follow kwa hiyo namba nitakuelewesha
  3. N

    Nahitaji kumpa mimba anayetaka mimba ili afute machozi

    Habari wana Jf, Ni kweli yawezekana kukushangaza ila kila mtu aonavyo. Na kutoa msaada na ushirikiano kwa mtu si lazima pesa tu hapana bali kile unachoona kile chaweza msaidia katika maisha yake. Katika kuwaza kwangu najua kuna wanawake au wanandoa ambao muda mrefu kilio chao ni mtoto na...
  4. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    hilo ni ombi langu naamini kwa maombi yako nitasimama kufikia lengo ansante sana.
  5. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    sidhani kama pesa itakufanya unipende kwa mtazamo WANGU, hebu omba Mungu aubadilishe moyo wako uwe na pendo thabiti maana pesa ilimsaliti hata mtu asiyekuwa na hatia
  6. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    nimekuja tena ndo nilikuwa natoka viwanja vya semina ya mwakasege.
  7. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    kwani wewe mwanamke?
  8. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    sikukusoma vizuri ndugu now nimekupata isamehehe mikono na akili ndugu.
  9. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    hekima na maarifa ni kitu pekee ambacho chaweza kumfanya mtu kuinuliwa toka chini na kumketisha na wakuu, pitia historia ya suleman kama utapata muda mamii then utathibisha nisemacho mamii.
  10. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    SAA yaja nitavuma na kila sikio litasikia na kila jicho litasema na kila ulimi utakili kuwa Mungu niliye naye ni wawote wenye mwili b blsd ndugu
  11. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    kile unachoona waweza sema nami naamini Bwana atakuongoza kusema nami
  12. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    atakaye kuwa nami atakuja kuwasimulia hali yangu ya kiuchumi jinsi nilivyo nataka yeye aje kuwapa ushuhuda na ushuhuda WANGU wa kwanza nataka nimpe yeye na wengine watafuata ndugu
  13. N

    Nahitaji kupendwa na mwenye hofu ya Mungu

    fedha na dhahabu ni Mali ya Bwana naamini tuishio ndani yake tunamiliki kupitia kazi za mikono yetu.
Back
Top Bottom