Recent content by NHIFTZ

  1. NHIFTZ

    KERO Responded NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

    Zaidi ya 80% ya mapato ya vituo vyote vilivyosajiliwa na Mfuko vinategemea malipo yatokanayo na kutibu wanachama wa Mfuko...tembelea vituo angalia katika watu 10 utakuta walau 8 wana kadi za NHIF. Kila mwenye kituo anatamani kufanya biashara na NHIF toka anapoanza. Hivyo NHIF ni chaguo namba 1...
  2. NHIFTZ

    Magari ya viongozi wa Serikali na afya za wananchi wa Tanzania kipi muhimu?

    Tunashukuru kwa maoni. Bima ya Afya ni suala la kila mmoja, hivyo tuendelee kuhimizana kila mmoja ajiunge kugharimia matibabu. Kwa upande wake, NHIF imeandaa vifurushi ambavyo mwananchi anaweza kujiunga kwa kutegemea umri wake, idadi ya wanufaika katika familia na mahitaji ya huduma kuanzia TZS...
  3. NHIFTZ

    NHIF Ilala, kwanini hamtaki kutupatia kadi zetu za Bima?

    Ndugu mdau tumepokea mrejesho wako. Changamoto iliyojitokeza imeshasuluhishwa na maombi yote ya vitambulisho vya matibabu yaliyowasilishwa katika ofisi za NHIF yameshafanyiwa kazi. Endapo hujapata kadi yako tafadhali fika ofisi uliyowasilisha maombi yako au piga simu ya huduma kwa wateja 199 kwa...
  4. NHIFTZ

    Bima ya Afya kwa wote: Hii inawezekana

    Mchango kwa Mwaka ni Tsh. 192,000/=.
  5. NHIFTZ

    Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

    Ujumbe unaotumwa na NHIF kwa mwanachama mhusika anayehitajika kuhuisha taarifa zake umejitosheleza na unaeleweka kama ifuatavyo ........Ndugu mwanachama mstaafu, tafadhali fika na mwenza wako katika Ofisi ya Mfuko iliyo karibu kwa ajili ya zoezi la uhakiki kabla ya tarehe 30/4/2023. Aidha, fika...
  6. NHIFTZ

    Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

    Ahsante kwa maoni yako. Uhakiki wa wanachama wa mfuko kabla ya kupata huduma za matibabu ni jukumu la kila siku la mfuko lenye lengo la kuhakikisha wanufaika wanaostahili wanapata huduma kwa mujibu wa Sheria. Ujumbe mfupi wa kuhakiki taarifa unaotumwa kupitia simu za mkononi kwa baadhi ya...
  7. NHIFTZ

    Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

    Asante kwa maoni yako. Uhakiki wa wanachama ni suala la msingi na hufanyika mara kwa mara katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. NHIF inaendelea na uhakiki wa wanachama wake na ili taarifa ifike kwa walengwa ujumbe maalum wa wito unatumwa kwa mhusika. Dhumuni ni kuhuisha taarifa za uanachama na...
  8. NHIFTZ

    Bima ya Afya (NHIF): Dhuluma, Mateso kwa watoa huduma hadi lini? Rais Samia tusaidie

    Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, Mfuko umeona malalamiko yako na kwa kuwa Mfuko unafanya kazi kwa uwazi na una utaratibu wa kushughulikia malalamiko ya watoa huduma tafadhali unashauriwa kuwasilisha malalamiko yako na vielelezo husika ili tuyafanyie kazi. Aidha, unaweza kutumia namba...
  9. NHIFTZ

    NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

    Wazazi wanashauriwa kusajili watoto wao kama wategemezi kupitia Vifurushi vya Bima ya Afya au kupitia shule wanazosoma.
  10. NHIFTZ

    NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

    NHIF ina vifurushi vya bima ya afya unavyoweza kujiunga kulingana na uhitaji, ukubwa wa familia na umri.
  11. NHIFTZ

    NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

    Mfuko haujaacha kusajili watoto na bima ya afya. Utaratibu wa kusajili watoto unaendelea kupitia familia au shule wanazosoma.
  12. NHIFTZ

    SERIKALI INAUWA MFUKO WA NHIF HUKU MIFUKO MINGINE BINAFISI IKIBORESHWA ZAIDI.

    Mfuko haujapunguza Siku za mgonjwa kwenda kupata huduma za matibabu isipokuwa huwezi kwenda Hospitali mara mbili kwa ajili ya ugongwa mmoja kwa siku hiyo hiyo na inapotokea dharula katika huduma ulizopata awali mwanachama anapata huduma..
Back
Top Bottom