Recent content by nhh

  1. N

    Chumba master na jiko kinapangishwa Mwenge

    Nahitaji chumba kimoja master maeneo ya sinza laki moja kwa mwezi
  2. N

    Maalim Seif: Nimekusanya matokeo kutoka vituo vyote ninaongoza, aitaka ZEC imtangaze mshindi

    Tofauti ya kura laki moja na arobaini sio parefu magufulia asubiri minyoosho tuu
  3. N

    Ni chakula gani ulikuwa hukipendi ulipokuwa mtoto?

    Aisee ni kama mimi nilidhani minyoo mpaka leo sili tambi hata nikiona tu hamu ya kula inaisha
  4. N

    Ni chakula gani ulikuwa hukipendi ulipokuwa mtoto?

    Mimi nilikua sipendi tambi nilikua nafananisha na minyoo mpaka leo nimekua siwezi kula kabisa
  5. N

    Masogange, Davido ndani ya "PENZI" zito

    Kakomaa magoti huyo demu wa davido hatari...ukigongana nae huyo
  6. N

    Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

    Hahahahaaa nmemfikiria mama zari halafu nkafikiria tena anamkazia macho kichanga lol! Tena nusu saa
  7. N

    Nyumba ya msanii Batuli yaungua moto

    Hahahahahaa diamond atapata kichaa ikiungua nyumba ile...
  8. N

    Unconfirmed: Huko Uganda Ommy Dimpoz ajiita producer na songwriter wa Diamond Platinumz

    Mimi nilisikia sababu ni ile project yake na wema ndio iliyowagombanisha
  9. N

    Mrembo Jack Patrick atoka na viwalo vya 8m

    Alikua anaitwa jack mzungu enzi hizo
  10. N

    AUDIO: Nuhu Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu

    Wanatafuta kiki hao... na kama ni kweli Wema kafanya vibaya aliporekodiwa yeye alidhalilishwa ila kwa mziwanda ndio kawa bucha lao insta wanamshambulia na Wema anasifiwa kwa alichofanya
  11. N

    Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

    Hahahahaha you made my day lol!
Back
Top Bottom