let him die. ni hasara. pamoja na mambo mengi amefilisi sn uwezo wa watu wa kufikiri. huweziamini, wa2 wamekuwa wakitoa hoja mbov sn za siasa ktk kpnd chake. litakuwa taifa gani la watu wasiojiweza kifikra? i wish Mama Samia achukue hatamu.
Serikali ya tz inabana hbr hata ambazo hazikustahili, waandish wa ndani wanatii kwa sababu wako ndani ya dola, lkn vyombo vya nje haviwezi kuogopa kuripoti habari ambazo ni sahihi, hata kuripoti maovu ya viongozi wanaripoti tu. Sasa wanasiasa hawa huwa hawana cha kuongea zaidi ya kusema hivi...
Huyo mgonjwa ndiye ambae hafuati katiba. Km ikitokea akafariki bs mama Samia atachukua nafasi, no way out. Unaowadharau ww ni watu wamestaarabika na wamejaribu kukufumbua akili kwmb ikionekana Rais anaumwa kiasi cha kushndwa kutekeleza majukumu basi Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais. Mnaweka...
Mimi nadhani kuna kitu, si bure. Km Rais angekuwa yuko salama basi vyombo vya hbr vikubwa vingeshatujuza. Ila kwa hali aliyo nayo, na siri ambayo serikali wanaifanya, sidhan km kuna chombo cha habari kikubwa kinaweza kutoa taarifa hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.