Recent content by ngwini

  1. N

    Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

    Wapigie simu! Unatupigia kelele
  2. N

    Mwakilishi aliyesaini mkataba wa La Liga ni yupi?

    A contract can be signed through electrical means hapo bado teacher nimekosea? Maana nasoma kwa Ras Simba so nafanya mazoezi
  3. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa nimepata tsh 647 nimeumia sana!
  4. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nisuke jackport niwapige
  5. N

    Mwakilishi aliyesaini mkataba wa La Liga ni yupi?

    Msiwe washamba a contract can even signed through electronically
  6. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asanteni Basel mnaninyima pesa mamaeeeee
  7. N

    Hamna raha kama kusikia pumzi ya mpenzi wako wakati kakukumbatia

    Hapo lazima nipige japo kimoja ndo nafanya kumbatio bila usumbufu
  8. N

    Wanawake mnajisikiaje mwenza wako anapokuwa hakushirikishi chochote?

    Hamtabiriki so watu wanaogopa kuwatambulisha....unatambulisha kesho mmetemana
  9. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja leo nicheze game 6 za under 1.5 kipindi cha kwanza nipate japo Tsh 150,000 tu za mafuta za wiki ijayo
  10. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimepigwa leo sina hamu....
  11. N

    Huyu ndo Mh. James Lembeli

    Dah kweli Lembeni ni msanii na hata gazeti la jamhuri wamezungumzia hii inshu ya Katavi kubinafsishwa
  12. N

    Swali: IGP - Mangu

    Kasheshe ni cha polisi
Back
Top Bottom