Kama tulivyoona kuna muda kwenye sakata la Escrow, discussion ilikuwa ya wachache, kuna haja Wabunge walioishia la saba basi wawe na hako kacheti kwani kuna watu kama yule Maza kiti maalum hata sikumuelewa.
Otherwise ni kuaibishana.
Kwa mara ya kwanza, nimetoka Kanda ya ziwa na ninatakiwa kurudi Mbogwe, wilaya mpya ya Geita, ila nimegoma mpaka nihusike hapo alasiri kushuhudia live huu mdahalo.
Buchanan Of course simuelewi anaposema c kazi ya mbunge kwenda jimboni na kujua demands za wananchi wake, of course simuelewi anapodhani ni rahisi waZanzibar kukubali kuwa Wilaya au Tarafa wakati wana mamlaka yao, na pia simuelewi anapodai huyo Mbunge asie na elimu ya darasani kuweza kujadili...
Umesema kazi ya Mbunge ni kuwakilisha wananchi Bungeni na wananchi kama wana shida wamtafute Mbunge na sio vice versa.
Umesema Mbunge asiwe na kikomo kwa kuwa watu ndio wakimchoka hawatamchagua.
Unataka serikali mbili, ukiwa na walakini kuhusu ambavyo waZanzibari watakavyoichukulia nchi yao...
Ni upuuzi kuponda mbinu na juhudi za ukombozi. Wananchi ni wale wale waliochoka kupelekeshwa kama wendawazimu, iwe Ukawa, Chadema au chama kingine, muda wa CCM kushika dola uko ukingoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.