TANESCO MTAA WA RAHA NA MUHONDA KARIAKOO TUMEWAKOSEA NN KIKUBWA HIVYO TANGU TRH 14 DEC 2024 KILA SIKU LAZIMA MKATE UMEME HAMJUI TUNATESEKA?
KAMA KUNA JAMBO LILITOKEA TUJULISHENI ILI TUELEWE NAMNA YA KUJITETEA NDG ZANGU!
Comments nyingi ni kama tunajidharau tusipoanzia hapo lini tutafika kama Taifa?
Tuwe wazalendo kupenda wanasayansi wetu na kuwatia moyo japo najua wengi wanadharau kwa kuwa wanaona namna Elimu yetu inavyobadilishwa kila wakati mitaala na wanasiasa
Huu uchawa ni hasara Kwa Taifa
Imagine wakaibuka vijana mithili ya huyu mtoto wa Kazuramimba 100 nchi si itasimama Kwa uzembe ?
Hapa shida imeanzia kwenye mitaala ya Elimu
Mtoto anasoma ila hajui anasoma nn yy ni kukariri tuu mwisho anamaliza Kazi hana na hajui atafanya nn
Anaamua kubuni...
KWELI hii kazi mmezidiwa ila hamkati tamaa gari kituo cha Kariakoo B kusubiri zaidi ya dk 30 bado mlango mmoja wa kikatia tiketi umefungwa wakati ndicho kituo chenye population kubwa?
Mungu tusaidie sana
Hakuna barabara Dar es salaam inayoliza kama hii ya mbagala haswa kuanzia jioni ukikuta wanafunzi na kina mama wamekaa chini kabisa ni kama wanaomboleza hawajui watafika makwao muda gani
DALADALA muda huo zote zinahama root ama kwenda kijichi au mwisho zakhem na nauli wanapandisha kama LATRA...
kwa nn hamuanzishi safari za kariakoo Mbagala ilhali wananchi wa maeneo hayo wanateseka kama sio Watanzania?
Jaribuni kufika kwenye vituo vya daladala za njia ya kilwa road jioni muone kina mama na Wanafunzi wanavyoteseka kama sio watanzania hakika ni kilio cha usafiri
Mtu anaanzakutembea kwa...
Kama wamerudisha daladala mbezi kariakoo mbezi kivukoni baasi huu mradi wa mwendokasi gerezani mbagala rangi tatu ushaanza kunitia mawazo sana sijui utafunguliwa lini
Maana usafiri wa mbande chamanzi tuangoma kisewe kwa jioni huwa nawaonea sana wanafunzi na kina mama huruma mpaka natamani kulia
Arusha imekuja kwa kasi mno hapo mtaa wa Florida vitoto vidogo kweli vinajiuza
Kwa msiojua Florida ni nyuma ya ofisi za BM coach Arusha
Hapa kuna mahali familia tunakosea na kukosa hofu ya Mungu
Kwa kweli mbunge wetu kuna mahali unakosea maana tangu kipindi cha jua kali niliwahi kusema brbr ya kutoka mbande kwenda singbad mpaka kwako ulipozaliwa kuna siku watu hawatatoka ndani usipoboresha makalavati ya mto MZINGA ona sasa jana maji yamebomoa mpaka yale yalokuwepo
Natabiri siku sio...
Usichokijua ni kwamba kila nchi ina utamaduni wake
Mfano India jimbo la Mumbai pale chakula chao kikuu ni mkate na juice hao chakula chao cha pili ni biriani lenye pilipili nyingi
So usione hatuli mikate kwa wingi wakati mwingine ni umaskini tuu
Mkate wa Bakhresa Tsh 2000+
Mkate wa mtaani...
Ila wanawake wamekuwa makatili sana assume yule wa mbeya aliyeua wanae wanne kwa sumu dah kweli mbinguni kuna watu watachomwa moto wawekewe na matairi juu na kupigwa mawe mpaka wachakae
Wanawake wanawake kuna mahali mnamkosea Mungu na hiki kisingizio chenu cha 50%kwa 50% mnakitumia vibaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.