Kumbuka wewe jina lako ni "Kuku mdogo" lakini bado tunakuamini na ku-socialize na wewe humu JF since 2011..ni imani ipi zaidi unayotaka toka kwa binadamu zaidi ya hii waliyokupa ya kuwasiliana na wewe "kuku mdogo"??
That's very true kaka, though hatuzingatii sana hiyo issue ya booking but chuoni risk probability inakuwa juu sana...to acquire/ come across the REAL ONE is almost an "IMPOSSIBLE BETTING".. Alot of chicks and SLAY QUEENS...still naamini naeza pata REAL QUEEN humuhumu JF
#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an...
01:The Alchemist Paulo Coelho
02: The Monk Who Sold His Ferrari Robin S Sharma
03: 48 Laws Of Power @ Robert Greene
04: The Thing Arround Your Neck @Chimamanda Ngozi Adichie
05: Wasifu Wa Siti Binti Saad @ Hayati Shaaban Robert
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.