Msafara wa wafuasi wa mgombea ubunge jimbo la Kigoma Kusini waliokuwa wakisafiri kwa Trekta kutoka kijiji cha Mtego wa Noti kwenda kijiji cha Chagu kwenye mkutano wa kampein wa mhe, Kafulila ambae jioni hii alikuwa na mkutano wa kampeni kijijini Chagu.
Watu watano wamejerujiwa vibaya na mmoja...
Jumla ya wakuu wa wilaya 3 na baadhi ya wasomi kadhaa ni miongoni mwa wagombea 13 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuchaguliwa na chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu mwezi October mwaka huu, wakuu hao wa wilaya ni:-
1. Gulamhussein Kifu - Mkuu wa wilaya...
Hapa Nguruka uandikishaji umekwama tangu Jana kwa sababu ya mashine za BVR kugoma wananchi wamekesha wakizilinda mashine zisiondoke maana mwisho ilikuwa ni jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.