Recent content by ngungwangungwa

  1. ngungwangungwa

    GE2025 Wakili wa Lissu, Nshala: Askari Magereza anakujaje Mahakamani amefunika uso Kininja?, Yeye siye ambaye anamshitaki Tundu Lissu

    Wale Askari wanaofunika nyuso zao, wote hao siyo Askari magereza hao ni Askari maalum ambao wanakuja hapo gerezani siku ya kesi Tu ya tundu Lissu hayo matendo anayotendewa Lissu ni maelekezo kutoka Kwa waliowatuma. Askari magereza Halisi hawajifuniki nyuso zao na hawamsubui Lissu iwe gerezani...
  2. ngungwangungwa

    Askari Polisi waweka ulinzi mkali Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo, Dar es Salaam

    Tupo Ktk nchi ambayo wajinga ndiyo wamepata nafasi ya kuwa viongozi Ktk Taifa ambalo linahitaji ukombozi WA pili baada ya wakoloni weupe mwaka 1961. Sasa tuna KAZI nzito ya kuondoa viongozi wajinga na kufanikisha Uhuru WA pili.... No reform no election...!!
  3. ngungwangungwa

    Natafuta Radio subwoofer

    Nipo Dar kiongozi..
  4. ngungwangungwa

    Natafuta Radio subwoofer

    Wakuu umofia kwenu.. km kuna yeyote anashida na hela na ana radio subwoofer ndogo Tu ya kawaida ani-dm nimuokoe na yeye aniokoe. Sitaki radio kubwa ya bei ya kubwa ndo maana nimekuja hapa. Maduka ya radio nayajua ila Sina hizo hela.. ahsanteni..!!
  5. ngungwangungwa

    PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Tuanzie ordinary level na advanced alisoma wapi na ufaulu wake ukoje!? Tuanzie huko Kwanza. Kuhusu hizo stashahada za mwaka mmoja huenda inawezekana Kwa sababu zote ni za kubet kitu ambacho sidhani km ni muhimu Sana Duniani.
  6. ngungwangungwa

    Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

    Niliachana naye mkuu kitambo sana na yeye aliachana na Yule kijana na Kwa sasa yupo Oman na mwaka jana alimaliza kumjengea Nyumba mama yake mzazi lkn bahati mbaya mama yake amefariki mwezi wa pili mwaka huu..!
  7. ngungwangungwa

    Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

    Una maanisha Mimi ndo nipo lupango ama!? Yaani niue Mtu kisa mwanamke!?
  8. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Kujijali mm si ndo pamoja na kuondoka mkuu!?? Sasa hv tatizo langu ni pesa ya kujikimu, tatizo hilo halitatuliki hata nikirudi pale bado nitakuwa sina kazi na sina hela.. Nitapata sehemu ya kulala kweli lkn sitapata hela.. Me sina tatizo la sehemu ya kulala ila nna tatizo la pesa au kazi...
  9. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Yes niliwapigia azam wakaniambia badala ya kukifungia nisubiri akianza kulipia inakuwa rahisi kujua location.. Km nna RB watanisaidia kujua kilipo.. Ndo nasubiri akianza kukitumia.. Maana akilipa tu me napata notifications kwenye number niliyosajilia.
  10. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Ww ni mwanamke, hebu nikuulize uniambie kwa uwazi tu.. Unajisikiaje umeishi na mwanaume miaka zaidi 20 halafu hakuamini!? Na unajisikiaje pale unapoishi na mwanaume zaidi ya miaka 20 halafu anakuamini.. Yaani amekufanya rafiki chako chake na chake chako..!?? Niambie hisia zako ktk mambo hayo...
  11. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Ni ndoa ya kikristu tena Roman Catholic...
  12. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Akiba yenyewe iliyokuwepo aliyoondoka nayo ni laki 4. Na siyo kwamba nilimpa aniwekee niliiweka ndani tena kwa kuificha.. Lkn nilikuta ile sehemu niliyohifadhi alimwaga vilivyokuwemo akakutana na zari la hela..! Hakujua kabisa km kuna hela ila alikuwa anahitaji hilo begi na wakati anatoa nguo...
  13. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Watanzania sijui tuna shida gani!? Hivi mkeo huwezi kumpa milioni 2 azitunze!? Mwanamke uliyeishi naye miaka zaidi ya 20 na watoto 5!?? Mbona hata bank huwa zinafilisika, unajua sheria za bank ikitangazwa mufilisi!?? Unajua km ukiwa na milioni 2 bank, km ikitokea bank ikafilisika hupati kitu...
  14. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Sasa mbona unajipinga tena!? umeanza vizuri kwa kuonyesha kuheshimu maamuzi yangu..! Lkn hapo mwisho umerudia jambo lilelile.. Maelezo yangu yote kwenye bandiko langu hakuna popote nilipoonyesha kujutia maamuzi yangu..! nimeeleza hayo ili kuwaonyesha watu mapito yangu na kwamba nimefikaje hapa...
  15. ngungwangungwa

    Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

    Tatizo mnachanganya mambo!? Kwanza fahamu kwamba nna mahusiano mazuri sana na watoto wangu.. Na sipo mbali kabisaa ilipo familia yangu na nnapoishi mm.. Nilipo mm na ilipo familia haifiki hata kilometre moja.. Ni km meter 600. Watoto wanapajua vizuri sana nnapoishi na huwa wanakuja. Mm...
Back
Top Bottom