Recent content by nguma manyonya

  1. nguma manyonya

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Mw hongera sana kwa somo zuri sana mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi iliyo tukuka naomba ikikupendeza kuhusu mpinga kristo tafadhari
  2. nguma manyonya

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Kama kuna kitu kinanipa raha nikuona jukwaa la jf limehamia fx haijalisha wanasema nn lkn fx imewavuta lazima tukubali tumewapiga chini wapinzani wetu naamini kama wameweza kutufuata huku watatufuata hata class muda unasema ipe muda kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nguma manyonya

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Huyo anayepiga hesabu ya pesa atakayopata Ontario tunakualifu sio hizo tu nanyimgine tutatoa hakuna hasara ukilinganisha na tunachopata nyambafu zako Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nguma manyonya

    Onyo: Forex trading haina mamlaka ya usimamizi

    Natamani kutukana watu wajinga kama huyu anayejiita muuza mbege ujinga hauna kabila ila huyu ni mjinga total anauliza njia wakati wa kwenda anauliza njia wakati wa wakurudi unaye muhurumia nani anayekuomba pesa kama pesa zetu kinakuuma nn muda unasema ujinga utakutoka tu Sent using Jamii Forums...
  5. nguma manyonya

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Naomba tuwe watulivu katika wakati huu muda unasema kuliko maneno wacha waseme sisi ambao tujua ABC kuhusu fx tuwe wapole kwakuwa tunajua tunacho Fanya MKUU pamoja sana tutafika tuu jmosi pamoja Sent using Jamii Forums mobile app
  6. nguma manyonya

    Kijana amka, hakuna pesa rahisi

    Hata ulipomuoa mkeo urisk kwasababu hukujua kama atazaa watu kama wewe hata kwetu wapo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. nguma manyonya

    Nime download meta trade 4, nawezaje kutumia demo account ili niifahamu Forex?

    Nifuate pm nikupe kwa njia ya whatsap Sent using Jamii Forums mobile app
  8. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Al watani napenda sana post zako naomba kujua kanuni za kusoma chart vitabu kaka nachimba ila kwenye chart nagonga mwamba nisaiidie ndugu yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Aminia mwanetu pamoja sana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Samahani kama hutojali soma kitabu kinaitwa the fx bible kina majibu yote ya maswali yako bila kusoma hakika fx ni ngumu sana unahita muda wa kusoma na kuganya mazoezi bila kuchoka vinginevyo utatoka mdogomdogo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kila mmoja atata kujua baadhi ya mambo kwanza tumshukuru mungu kwa kuwa na fursa kama hii pili tukubali kuwa hatuwezi kuwa wote kwa wakati mmoja tatu vigezo vyovyote vitakavyotumika tukubaliane navyo kwa faida yetu sita jisikia vizuli tunakomaa navitabu tunapo kwenda kwenye tred tunachoma acc...
  12. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kipaumbele cha kwanza kusoma chapili kusoma cha tatu kusoma mwisho soma sana vitabu kama huna sema Sent using Jamii Forums mobile app
  13. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Sawa MKUU tumeinama ndomana tupo pamoja vinginevyo tusinge kuwa pamjo Uhuru usio na mipaka ni utumwa Sent using Jamii Forums mobile app
  14. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Naomba sana tena sana zingatieni sana hili darasa ambalo ss watu tunao penda fx tumeamua kwa ridhaa yetu kujiweka chini ya mwamvuli wa bwanamdogo Ontario ieleweke kuwa tupo watu warika tofauti hivyo rugha zinazotumika zizingatie maadili na ustarabu wetu mademu wa Kali hapa si mahali sahihi...
  15. nguma manyonya

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Ndugu zangu wote ambao tunatunisha misuli kwaajili ya fx haina budi kuwa wapole na kuendea kuchimba vitabu mbalimbali tunavyoelekezwa na wahusika nawapongeza wale wote ambao wanatumia muda na nguvu katika hili kwa faida yao na taifa kwa ujumla angalizo watakuja matapeli wa kila sampuli kwenye...
Back
Top Bottom