Hii hili litakuwa kati maaajabu 7 s ya dunia hili la nane nchi pekeee dunia inayoweza kamata RAIA wake anayetoa taarifa kwa umma kutaadharisha ,anakamatwa , ila halitasalia jiwe juu ya jiwe
Nani aliyekwambia takukuru inakamata wanachama cha kidumu fikra za mwenyekiti, haiwezi itabaki ikikimbizana na watumishi na wasio watumishi na wenye kuipinga serikali, wako wapi wa escrow ambao ni wa kidumu chama
Serikali kama hawataki kukosolewa,wapeleke muswaada bungeni,kufanya amendment ya 12 ya katiba ya sasa kufuta siasa vyama vyingi , na kubaki na chama kimoja,tu
Wapeleke muswada bungeni wa kufuta mfumo vyama vingi, na wabadile katiba kuwepo mfumo chama kimoja ,hakuna atakeye wachalenji tena, wananchi hutaki unafiki
RIP makamanda , ningekuwa mkuu wa jeshi la Polisi ,ningeagiza askari wangu waingie kwenye hicho kijiji kukamata wote , ningewapata tu hao wahalifu, maana wanaishi kwenye hizo jamiii ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.