Muhim sana hili la interest, kuna dogo pia aliona zile post za ASA Walika agricultural engineer kwenye tangazo nakumbuka hazikuzidi watu 20 akawa anapuuzia kuomba ila walipokuja kuchukua walizoa balaa watu wa civil walikuchukua km 100, wa maji walichukua km 60 na wa agriculture engineer nao...
Hii bado sio sababu, wanaeza yakusanya matangazo kadhaa labda ndani ya mwezi watoe tangazo moja na usaili uwe mmoja tu then wawapangie vituo vya kazi, baadae hata zikija halmashauri zingine wanaeza tumia database tu kawapangia vituo vya kazi, hii itapungusa sana usumbufu na gharama kwao...
Umeongea sahihi sana mkuu, vijana hatupo tayari kuanzia chini, hata hapo TRC kuna watu wameanzia chini kabisa now ni waku wa vitengo na wakuu wa idara wanakula maisha sana tu
Nna miaka kadhaa nafuatlia harakati za ajira, hawa TCRA ndio mara ya kwanza naona wanatatangaza kazi, vijana wenye sifa changamkieni fursa mkalambe asali yenyewe
Pole sana mkuu, uskate tamaa mda utafika japo huenda ikawa kwa kuchelewa sana, kuanzia mwaka 2022 ndio mambo haya ya kukawiza sana yameanza lkn miaka ya nyuma ilikua usaili ukipita mda si mrefu wanatoa majina na ilikua kawaida mfano kazi ilihitaji watu 10, wanachukua hata zaidi ya hao 10 kwa...
Oral msingi muhim ni confidence, fanyia kazi ishu ya kuji introduce vzr, jitahd kujua zile duties wkt wa tangazo, kujua abc za maswala ya hio kada/post unayofanyia, challenges pia za kazi husika kazn, ulizia pia wenzako waliwahi kufika oral ya post hio unaeza pata maswali common
Vitu km hivi ndio vinakera sana, juzi tu waliita watu kwenye tangazo lao wanasema walifanya usaili kitu kama oct 2022, karibia miaka miwili ndio unaita mtu kazin? Watatue hio shida, ibaki tu watu wa database ndio hata wawe wanachelewa tukiamini wanawatafuta pa kuwapeleka lakin sio kwa nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.