Recent content by ngozimbili

  1. ngozimbili

    Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Nikiwa muislam naelewa concern Yako ni kweli Kuna wale wanaongeza maneno nk ni jambo zito ngoja tulijadili
  2. ngozimbili

    Wajua Wakristo na Waislamu Watoto wa Baba Mmoja Ibarahim?Mungu Wao ni Mmoja?na Sheria yao n Moja ya Mussa?Amri Kuu ni Upendo!Uchaguzi Huu Tupendane!

    Pascal yupo sahihi ni wajinga tu ndio watakaobisha tazameni ibada wakristo wa asili Ethiopia https://youtube.com/shorts/aaQePqB1Xj4?si=wnaY-PLmR2GZNbzT
  3. ngozimbili

    Polepole: Mkapa na Magufuli walikua na Bond kwakua wote waliingia Uraisi wakiwa na Deni kubwa la awamu ilopita

    Na hivyo hivyo Mzee Mwinyi aliikuta nchi hohe hahe,Salim A Salim akatumwa India na Mkapa Zimbabwe tukaanza mdogo mdogo.
  4. ngozimbili

    Polepole kasema nyuma yake wapo kina Mzee Warioba

    Huo ndio udini wenyewe,mambo ya dini moja yasiingiliwe na watu wa dini nyingine.
  5. ngozimbili

    PreGE2025 Alichokifanya Gwajima ni “Insubordination” kwa mwenyekiti wake wa chama. CCM imuite na kumhoji azungumze uhalisia

    Swali ni kwanini Gwajima hakusema kuhusu Azory Gwanda au Ben Saanane,ametaja matukio ya awamu hii tu ,Yuko kimkakati zaidi siyo utekaji,ukitaka kumzungumzia utekaji lazima uwe mkweli.
  6. ngozimbili

    Kumbukumbu ya mauaji ya 26 - 27 Zanzibar Januari 2001

    Unaweza kusema hayo Leo Kwa Lissu?
  7. ngozimbili

    Sikukuu za Dini nyingine kama Hinduism zinapaswa kuanza kuthaminiwa na kutambulika Kitaifa kama Public Religious Holidays.

    Tumesahau Dini za jadi sikukuu Yao iunganishwe na SabaSaba,kuepusha kuongeza siku za mapumziko.
  8. ngozimbili

    Kulikuwa na ulazima wa Mapinduzi ya Zanzibar?

    Unaijua serikali ya kwanza mkuu au umeshiba poropoganda? Waziri Mkuu aliyepinduliwa Mohamed Shamte.
  9. ngozimbili

    Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar yakimuhusisha mtu asiye maarufu sana, John Okello

    Kila kitu Kiko wazi ni wewe tu kuchukua vitabu na kusoma, Amrit Wilson kaandika kushiriki Kwa CIA ya MAREKANI
  10. ngozimbili

    Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar yakimuhusisha mtu asiye maarufu sana, John Okello

    Serikali iliyopinduliwa inadai hayakuwa mapinduzi ya wazanzibar Bali mavamizi kutoka nje na @yerico Nyerere makala yake inaonesha hivyo,ni wageni watupu ALIOWATAJA walioongoza mapinduzi,na ili.mapinduzo yawe na uhalali yanapaswa kufanywa na wananchi wenyewe.
  11. ngozimbili

    Makosa yanayojirudia ya Baba wa Taifa na historia ya TANU

    Walitaka kumpa Makwaia Kidaha pia.walitaka mtu wa bara pia.
  12. ngozimbili

    Saudi Arabia yanunua tani maradufu za mafuta Urusi. Je, ushawishi wa USA na EU umepungua duniani?

    Mafuta yamepanda sana Kwa hiyo Putin kashusha kidogo tu lakini juu ya bei kabla ya vikwazo,hesabu zinaonesha mauzo yamepungua kidogobila faida imepanda.
  13. ngozimbili

    Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

    Kwa hiyo tuwe na uchaguzi,manake Rais wa Sasa ni Mzanzibar,au sijakuelewa!
  14. ngozimbili

    Mgogoro Hifadhi ya Ngorongoro kuna siri nzito. Nani wapo nyuma ya Wamasai?

    tatizo siyo wamasai bali kuna vigogo wameweka mifugo kwenye Hitadhi wakiwatumia wamasai.
Back
Top Bottom