Pascal yupo sahihi ni wajinga tu ndio watakaobisha tazameni ibada wakristo wa asili Ethiopia
https://youtube.com/shorts/aaQePqB1Xj4?si=wnaY-PLmR2GZNbzT
Swali ni kwanini Gwajima hakusema kuhusu Azory Gwanda au Ben Saanane,ametaja matukio ya awamu hii tu ,Yuko kimkakati zaidi siyo utekaji,ukitaka kumzungumzia utekaji lazima uwe mkweli.
Serikali iliyopinduliwa inadai hayakuwa mapinduzi ya wazanzibar Bali mavamizi kutoka nje na @yerico Nyerere makala yake inaonesha hivyo,ni wageni watupu ALIOWATAJA walioongoza mapinduzi,na ili.mapinduzo yawe na uhalali yanapaswa kufanywa na wananchi wenyewe.
Mafuta yamepanda sana Kwa hiyo Putin kashusha kidogo tu lakini juu ya bei kabla ya vikwazo,hesabu zinaonesha mauzo yamepungua kidogobila faida imepanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.