ni woga wao tu usio na msingi mtu uachane nae halafu umrudie kwa lipi? mimi mtu anaweza kunishawishi akisema anaogopa majukumu ya malezi ya watoto lakin kurudiana hapana
watoto wangu ni kila kitu kwangu hivyo mume ananihitaji mwanzo tu nampa historia yote hivyo akitaka akubali hataki aniache na maisha yangu siwezi kimbilia ndoa nikaacha wanangu
nakubaliana nawe wapo watu wana moyo wa kulea watt wa wenzao na hasa inahitaji moyo wa mtu haya mengine ni sababu tu ila kiukweli mtu kama huyo hata mtoto wa ndugu yake hataweza kumlea maana hapo kinachoogopewa ni mzigo wa malezi na unapoamua kumsaidia mtu usiangalie malipo toa kama tunavyotoa...
usisemee nafsi za wenzio kama wewe huwezi wapo wanaoweza na kingne mpaka watu wanafikia kuzaa na kuachana lazima zipo sababu zilizopelekea hayo na laiti tungekuwa ni wenye kujua nini kinatokea mbelen kila mtu angekuwa makini kutofanya makosa sema mara nying kunakuwa na sintofahamu yanayopelekea...
tatizo sio mama wa kambo ni roho mbaya tu za wahusika mimi nimelelewa na mama wa kambo toka nikiwa na miaka 4 tena tulikuwa mapacha hata baba alipofariki mama yule hakuturudisha kwa mama yetu alitulea vizuri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.