Ngeleja pole sana ila ulitakiwa uzingatie integrity and honest ukiwa km kiongozi wa wizara, haiwezekani Katibu adanganye na useme hayo ni makosa ya kibanadamu, Masuala haya ya kudeposit 50 million unayaelewa kabisa, mimi naona upige chini tu mzigo ngosha mwenzangu huna jipya kama Karamagi...
Hii inaonyesha how Tanzanians tulivyo na huruma na wabadhirifu wa mali za Umma, so sioni haja kuendelea na mjadala wa kujivua gamba coni nia ya dhati ya kuwatosa mafisadi.
Nakubali kabisa, lakini kilichonishangaza hawa ndugu zetu wa Igunga kwa kumwaga Mashozi hadharani, kwa kweli nimesikitika sana pale watu wanapoamini hakuna mtu mwingine atakayeleta mambo mapya hii ni hatari sana, huruma yetu ndiyo inafanya maisha ya MTz yanazidi kuwa magumu kwa kuwakumbatia wezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.