ni ipi hukumu ya muhaini au gaidi kwa mujibu wa sheria? kutekwa? kupigwa na kumwagiwa tindikali? kuuwawa kinyama? kama haijakufika au katika familia yako bhs huwezi elewa utabaki kuandika makala ya ajabu kama haya
Hivi ni kwanini Serikali na jamii isiruhusu watu wa jamii ya Rasi (Rastafari) kuruhusiwa kusoma na nywele zao hasa katika ngazi ya elimu ya chuo? Waruhusiwe kusoma na kupractise medicine ( Udakitari wa Binadamu).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.