Mkuu kama vile mm nmekupata sana lkn niombe kufahamu ni baada ya muda gani sasa unaweza Pima baada ya kupata huyo virus wa HIV apatkane na baada ya muda gani pia unaweza pima ili kijiamini km kweli upo VE-
Mkuu labda kutokula matunda na mlo kamili lakini Mazoez nafanya sana coz mm mkulima ko kulima na kutembea mi nafikiri ni zoez tosha, Asanteh kwa ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.