Recent content by ngayonga953

  1. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Athari za kutojiunga na JKT kwa mujibu wa Sheria

    Nendeni ni muhim sana, unakuwa active masaa yote. Untumia silaa so unazijua vizuri popote ukiziona. Unaenda renji kufanya shabaa na risasi za moto kitu ambacha huwezi kukifanya uraiani. Jeshi lina raha yake
  2. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Athari za kutojiunga na JKT kwa mujibu wa Sheria

    Mwaka Jana nilipangiwa BUROMBORA KIGOMA, nimeona hayo mambo. Na kulikuwa na madada wengine hawakuguswa kwa kuwa walikubali kukabiliana na kila hali ktk nyanja zote yaani kazi za nje na kazi za kijeshi. Mafunzo magumu ndani ya wiki sita baada ya apo bata tu.
  3. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Athari za kutojiunga na JKT kwa mujibu wa Sheria

    Ngoja mm nichangie kidogo, madada zetu huwa hawabakwi ila wana achia wenyewe kutaka feva ya kozi. Madada huwa hawapendi kazi ngumu. Na jeshi ni kazi masaa 24 hakuna kulala.ilo linawapelekea madada kuwapa maafande ili wapate unafuu wa kozi
  4. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu mwaka 2015/2016

    Mi naona bado hayajatoka. Kwani mm mwenyewe nayasubili
  5. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Mwalimu: Mwanafunzi wangu wa kike ananitaka kimapenzi.. Kila siku hukaa mbele tena kihasara

    Its not a discipline to have sex with ur student. Muite mwambie ukweli kuwa huna dili nae. Atulie asome
  6. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Post Graduate Diploma

    Ukimaliza ordinary diproma, ili usoma post graduate lazima usome advanced diproma
  7. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria yako pale pale

    Bajeti inaruhusu ndio mana jkt wamesha toa tangazo la kuwaitaji wahitim
  8. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Msaada maombi vyuo vya afya

    Muda tayari, na watu wana apply
  9. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania kupotelewa na vyeti vya form 4 na form 6

    Aende wizarani kwanza zen ataambiwa cha kufanya. Mara nyingi ikitokea kama ivyo huwa anaambiwa sense ktk while alizisoma alafu apewe barua ya uthibitisho kuwa alisoma pale
  10. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Category za ku-apply Diploma

    Habari Jamiiforums! Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona. Naomba msaada
  11. ngayonga953

    JamiiForums Tanzania Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    Mambo vipi wana JF, mwenzenu nimekwama. Naitaji kuomba nafasi ha kusomea ualim lakini mila nikiingia kwenye system za appl. Categories ninazoziona no NTN6 na NTN7. mm Nina cheti tu cha 4m4. He nifanyeje. Nisaidieni niapply
Back
Top Bottom