Recent content by NGAYANIMO

  1. NGAYANIMO

    Fahamu kuhusu kundi la De plow Matz

    Tha De-Plow-Matz (mara nyingi hufupishwa kwa: DPT) lilikuwa kundi la muziki wa hip hop lililotamba sana katika miaka ya tisini . NI Kundi linaundwa na Saigon (jina halisi Saleeh Mzee), Dolasoul (jina halisi Ahmed Dola), Trip Dogg (jina halisi Philip Mwinmanji) na Storm (jina halisi Amour...
  2. NGAYANIMO

    Zaharani - Maisha na mashairi

    Verse ..3 ( zaharani) Yo! Watu wanaathirika lakini Bado hawajali/ vipi? Mnakosa fikira za kuweza kufikiria mbali/ watu wanapata shida sio siri Bado ni hatari/ mifano mingi tumeona vipi kuhusu tahadhari/ kila siku watu wanaonya ni wagapi wanajali/ nusura hakuna kupona mapema mjihadhari/...
  3. NGAYANIMO

    Zaharani - Maisha na mashairi

    ZAHARANI - MAISHA NA MASHAIRI. Verse..1. Hizi mbio sio za Baiskeri , Haiwezi kabiri Kasi/ Tahadhari usije Ukaferi , Mbuzi Amzindi Farasi/ Usiwambie Watu watakucheka/ 😄 🤣 "hahaha " Wengi wameishia Sakafuni/ Chunga usipige mweleka , Usafi wa Nafsi sio Sabuni/ Unapozungumzia Hip hop , Lazima...
  4. NGAYANIMO

    Changanya Ladha by Joh Makini

    JOE MAKINI - CHANGANYA LADHA. Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/ The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/ J.O.H M.K.A Ena ndani ya Sound za " Mo" Records/ Ninapotia Team Wana Disappear/ Sio Makosa Yao wananihofia...
  5. NGAYANIMO

    The Rockaz Athen

    THE ROCKAZ ATHEN "Kwenye Beat ya lamar ,Chief na Mamuu.!! Wa kitaa / Huku Natangaza njaa , The side Nakupa Raha/ Rockaz tumejimake for Real , hatupo feet/ Mabisto Si mnatucheki and this is How we make/ Breack, Tens make how we Do! Hii special kwa masela wa kitaa na Maduu/ Wanaokubali...
  6. NGAYANIMO

    Umoja wa Watanzania - Juma Nature & Professor Jay

    MUUNGANO WA WATANZANIA " JUMA NATURE & PROFESSOR JAY " Umoja wa Tanzania" ni wimbo maarufu wa Bongo Fleva uliotolewa mwaka 2003 na mkongwe Juma Nature akishirikiana na Professor Jay, ukiwa kwenye albamu ya Ugali, Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi uliofanyika 1958 na Tanu ilifanikiwa kupata...
  7. NGAYANIMO

    Rais wa Manzese Madee

    MADEE Historia ya Pendo, aliyekuwa mpenzi wa msanii Madee, ni hadithi ya kusikitisha ya kifo chake kupitia ajali iliyotokea miaka mingi iliyopita,Ni miaka takribani 16 Tangu kifo cha pendo kitokee.. jambo lililoacha alama kubwa maishani mwa Madee. Madee alionyesha huzuni yake kwa kutunga wimbo...
  8. NGAYANIMO

    Check navyo flow- kwanza unit "K.U"

    D. ROB " VERSE " Oh Nakuja na Check na flow hi.!!👋 Hodi hi.!!👋 oooh/ Mlango uko wapi? Kama funguo ni Elimu niwe juli kama Mwalim/ Ni funge hizi takwimu/ Yoh..!! Rap mahesabu/ Isiwe Taabu/ Watu wamekula Kitabu/ Tuseme Ma - Book / Yoh..!! Ma - kilo ya Dhahabu/ Ninachokitaka mimi ni Karatasi...
  9. NGAYANIMO

    Bei juu " Wagosi wa kaya"

    MKOLONI FT JITA MAN - BEI JUU. Mkoloni amewataka wasanii kuimba nyimbo za kuelimisha kama walivyokuwa wanaimba zamani ili kuweza kuiweka jamii sawa na siyo kuimba mambo ambayo ukiyasikia mpaka unashangaa wakati anapokaa huyo msanii akipita ni lazima avue viatu kwa kuwa kuna matope sana. Vipi...
  10. NGAYANIMO

    Miaka kumi ya ufalume wa Rhymes mwaka 2014 ..since 2004 - 2014

    AFANDE SELE - MIAKA 10. Intro .. Yeah.!! Oooh.!! Miaka 10 Imefika Ya mfalume mimi Imepita viumbe wanakuja wanazaliwa wanakufa wanaondoka shwaa!! Dunia hudumu Daima weweee!! Chuki ya nani? usinitanie.. Wewe.. "Verse... 1. Sasa ni miaka 10 / Tangu niwe mfalume/ Lakini Bado ni mimi / Ndio...
  11. NGAYANIMO

    Usinichukie - watu pori ( Afande sele)

    WATU PORI - USINICHUKIE Afande sele.( Verse).. "inshallah kama umenisamehe Kama bado basi Ewallah Yote namuachia Allah Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/ Anatupenda Sawa sawa kabisa/ Wote anatupa Mvua,misikiti na makanisa/ Na wote anawapa jua masikini na Wenye pesa/ Kama kuvuta...
  12. NGAYANIMO

    Matumaini kwa wale waliokwisha kata tamaa

    MATUMAINI: katika mambo yanayokwamisha mtu kuweza kuendelea ni pale anapokutana na changamoto mbalimbali za maisha hasa pale unapokuta unashindwa kufikia malengo uliyoweka kwa wakati,hali hii moja kwa moja watu huweza kumlaumu Mungu. Inawezekana umeshapitia magumu fulani na kama hujapitia...
  13. NGAYANIMO

    Wimbo: Elimu Dunia by Daz Baba

    Nilipendezwa zaidi na Verse ya afande sele na sio Daz baba kingine sijacopy jaribu kufuatilia page yangu huko Facebook natumia Ukwaju wa kitambo mara kadhaa ndio imekuwa desturi yangu ya kuandika lycris za nyimbo za zamani. Dont take it easy ndugu
  14. NGAYANIMO

    Hard Blasters crew" H.B.C " - Tuko nyuma

    HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS ( TUKO NYUMA) Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma Tuko nyuma Tu na kichocheo Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo... Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo...
  15. NGAYANIMO

    Wimbo: Elimu Dunia by Daz Baba

    DAZ BABA - ELIMU DUNIA. VERSE.. ( AFANDE SELE) We ni mfungwa sasa 'si mtu huru/ Ukilalamika sana utakuwa kama unakufuru/ Tu..!! Lazima ujue sisi ni vifaranga na maisha ni kama mwewe/ Mama yetu ni elimu’ ulio mkataaga we mwenyewe/ zamani..!! Ulimkataa elimu ya duniani 'ukampiga hadi mwalimu...
Back
Top Bottom