Recent content by Ngaroka

  1. N

    Rose Muhando: Nafikiria kurudi kwenye Uislamu

    aliingia ktk ukristo kwa tamaa ya maisha tu sio ukweli wa imani sasa kashapiga pesa mambo yke fresh anarudi kwenye imani yke ya kweli
  2. N

    UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

    kweli wa tz tunamatatzo ya akili yani mtu anaongea upambavu alafu watu bado wanasapoti eti kisa aliyeongea ni mchungaji mambo ya utoaji wa maoni ktk katiba unahusiana nn na idadi ya watu? labda angesema upangaji wa bajeti ningemuelewa coz upangaji wa bajeti lazma uzngatie na idadi ya watu kwahyo...
  3. N

    Kikwete: Waliochochea ukabila ndio wanachochea udini leo...

    kama kila mtu anahaki ya kuabudu anachokitaka na anachokiabu kiheshimiwe sasa kwann baadhi ya watu wanaingilia imani za wenzao mf: matukio kadhaa tumeyaskia ya kuchanwa kwa quran lkn mmeshindwa kuwachukulia hatua waliofanya badala yake mnasubiri matokeo ndomuachukulia hatua wanaopinga...
  4. N

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    hata mashule yote tz yakiwa ya kiislam haitasaidia haliyakua baraza la mitihani ni la kwao au huzioni hujuma zinazoendelea necta? waislam sasaivi wanamashule mengi tu pia wapo wengi ktk mashule ya serikali na wanafanya vizuri sana tatzo ni wakatoliki waliojazana NECTA
  5. N

    Mauaji ya Daudi Mwangosi: Ushuhuda wa kilichotokea hadi kifo chake

    dah! siamini macho yangu km duniani kuna watu wana ukatili uliokithiri km huu
Back
Top Bottom