Recent content by Ngareroo

  1. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Ngoja ntamfuatilia ila kipindi yupo Planet Bongo nilikuwa namuona wa kawaida
  2. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Mwarabu wa wasafi yule namkubali yupo direct hana kona kona,,Anasemaga ukweli2..Nasri ndo alimsema mno Aziz Ki kapoteza fitness kama msimu juzi, na ndo kilichotokea,,Pindi anaenda Wydad alisema hawezi pata namba hana fitness, tunakuja skia kocha kamkataa,,Haya Aliisema Simba na kuipa %4 ya...
  3. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Oooh duh kumbe alikuwa anaenda kuwa Doctor 😷...Alikuwa nyuma ya mic na camera yaani Producer wa kipindi na director/cameraman au?..Yees yupo ktk ufundi zaidi..Propaganda za soka ye hazitaki kabisa
Back
Top Bottom