Recent content by Ngareroo

  1. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Ngoja ntamfuatilia ila kipindi yupo Planet Bongo nilikuwa namuona wa kawaida
  2. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Mwarabu wa wasafi yule namkubali yupo direct hana kona kona,,Anasemaga ukweli2..Nasri ndo alimsema mno Aziz Ki kapoteza fitness kama msimu juzi, na ndo kilichotokea,,Pindi anaenda Wydad alisema hawezi pata namba hana fitness, tunakuja skia kocha kamkataa,,Haya Aliisema Simba na kuipa %4 ya...
  3. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Oooh duh kumbe alikuwa anaenda kuwa Doctor 😷...Alikuwa nyuma ya mic na camera yaani Producer wa kipindi na director/cameraman au?..Yees yupo ktk ufundi zaidi..Propaganda za soka ye hazitaki kabisa
  4. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Ambangile mwenyewe anakwambia aliwahi kusema Jurgen Klopp au Guardiola kwamba Hakuna Mchambuzi mbaya baada ya mechi..ila yeye huwa anachambua vizuri mno kabla mechi haijachezwa
  5. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Oooh kumbe alikuwa Magic FM..ko anaweza pewa timu aaf ikashindwa fanya vizuri pia
  6. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Sio kidogo..sema kwenda azam itakuwa ni best move? Coz Ahmed Abdallah alikuwa kule akaja Wasafi
  7. Ngareroo

    George Ambangile kabla ya Wasafi FM alikuwa wapi? Na elimu hii ya soka kaipata wapi?

    Habari Wakuu..Me ni Shabiki mkubwa wa Basketball,Lakini Pia Nafuatilia sana Soka,,Nakubali Sana Uchambuzi Wa Kimpira Wa Kina, Nasri Khalfan, George Job, Hans Rafael, George Magunga, Farhan Kihamu, Evodius Oscar,Jemedari Said Kazumari, Geof Leah na Derrick Lissu,, Ni Wachambuzi Wazuri Sana...
  8. Ngareroo

    Yammi: Nimelipa TSh. Milioni 100 kuondoka kwa Nandy

    Huyo msamalia alietoa mil100 ni mimi hapa..Mwambieni na Zuchu akitaka kutoka DABILIUSIBII Ntamlipia mimi
Back
Top Bottom