Recent content by Ngara to Shy

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tuweke shilingi ngapi stake
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    We siku 3 tu...wengine miezi tunafanywa na kanjibahi
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi professional punter kama Governer of all bettors, anaweka odds ngapi kwa siku ! Atushauri sie vijana wake tumlaje kanji
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu kwa unyenyekevu nakuja kwenu naombeni mbinu za kumpiga kanji hata kidogo, maana naliwa mwenzenu yaani kanji kanigeuza malaya wake ananifanya anavyotaka kila siku
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani Al nassr mpuuzi katoka 4 - 4 na Al hazem du
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeona tupo location moja tutafutane inbox
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fenerbahce siku hizi Kawa qqquma tu, AFCON imekuja kimapqumbu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uweke 2 odds unaliwa tu, uweke 50 unaliwa tu , haya maafisa kula chuma EE1CF6F SB
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Gavana tukibeti mara 1-2 si kanji atafunga biashara! Yaani betting ni upuuzi kila siku unafikiria namna ya kumpiga kanjibai , halafu unapoteza mara 99 unapata mara 1,
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    AFCON ina matokeo ya ajabu sana leo
  11. N

    JamiiForums Tanzania Muhudumu anataka nimnunulie Savana wakati mimi natumiaa local bia

    Mpe Konyagi ndogo kama hataki muache
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni kopi halisi ya mwendazake TB Joshua

    Sina imani na manabii ,
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sasa tufanyeje yaani mamilioni ya wa tz kila siku tunamchangia kanji....tundu la kushinda beti ni 1%
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa kweli mie nimchukuaji wa code huku kimya kimya mbarikiwa , lakini kuna zile code unaona kabisa unaelekezwa machinjioni nazo wanazotoa wabarikiwe
  15. N

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Egypt anakufa kifo cha mende leo kanji anatoka na magunia ya pesa
Back
Top Bottom