Recent content by nganje

  1. N

    JamiiForums Tanzania Lubuva kushitakiwa mahakama ya Tanzania

    How the Court worksContentious cases Advisory proceedings The Court may entertain two types of cases: legal disputes between States submitted to it by them (contentious cases) and requests for advisory opinions on legal questions referred to it by United Nations organs and specialized...
  2. N

    JamiiForums Tanzania ICJ haideal na kesi ya kuibiwa kura

    Kwa upande wangu baada ya kuangalia zote mbili nimeona hiyo "Linda ukawa supporter" imechakachuliwa. Wenzangu sijui mmeona?
  3. N

    JamiiForums Tanzania ICJ haideal na kesi ya kuibiwa kura

    Angalia za tume na zilizoletwa humu ndio utajua kuna watu wanaleta taarifa za uongo
  4. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Iko hivi wakati tunavunja mkataba wa Richmond tulishtakiwa ICJ tukashindwa kesi na hadi leo tunalipa hasara iliyotokana na kuvunja mkataba ule. Na sio Richmond tu zipo kesi nyingi tumewahi kushtakiwa ktk mahakama za kimataifa na tukashinda au kushindwa na tukatekeleza hukumu iliyotolewa. Hivi...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

    [QUJimbo la Bumbuli matokeo ya Ubunge yanaonesha kuwa waliopiga kura ni watu 20,512 ambapo January Makamba amepata kura 17,805. Lakini cha ajabu kwenye matokeo ya Urais jimbo hilohilo la Bumbuli waliopiga kura ni watu 44,011 ambapo Magufuli anadaiwa kupata kura 35,801. Sasa jiulize imekuaje...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

    Tafuta matokeo ya kura za maoni ya CCM ya Bumbuli halafu linganisha na ulichokisema, kikiwa sawasawa jitafakari upya na ulichoandika.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo yanayoendelea kutangazwa na NEC yana dosari nyingi

    Ndanda pia kuna kituo kimoja cha TV kilifanya typing error. Matokeo ya Tume ya Uchaguzi hayo hapo juu, fanya hesabu mwenyewe uone. Nadhani kuna haja ya kutulia na kuwa na taarifa za uhakika ndugu zangu ama sivyo inaweza kuwa shida
  8. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo yanayoendelea kutangazwa na NEC yana dosari nyingi

    Monduli pia kuna watu walikosea kuandika. Sikumbuki ni mtandao gani lakini kuna typing error. Lakini ya Tume ya Uchaguzi ipo sawa na Lowassa ameshinda kwa kura nyingi
  9. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo yanayoendelea kutangazwa na NEC yana dosari nyingi

    Kuna kitu kinachanganywa bila watu kujua. Matokeo ya kura za Maoni Bumbuli CCM na Kura za Ubunge. Naomba kusahihishwa kama nimekosea
  10. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

    Mleta thread, hebu angalia kwenye hii link halafu ulinganishe na ulichokisema MICHUZI BLOG: January Makaba ashinda kura za maoni CCM, Bumbuli
  11. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Kura za maoni za CCM hizo, tusijichanganye wajameni
  12. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    We jamaa hatari kweli. Unachanganya kura za maoni na ubunge! Sasa tukueleweje???????
  13. N

    JamiiForums Tanzania Ethiopia iliyokuwa maskini, inajenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme sisi Tanzania tunalala gizani

    Financing Ethiopia has not succeeded in getting outside financing for the project, in part due to its lack of competitive bidding for the project's construction contract, an in part because of the project's potential for increasing water conflict in the region. The government says it will...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ethiopia iliyokuwa maskini, inajenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme sisi Tanzania tunalala gizani

    he Ethiopian government has stated that it intends to fund the entire cost of the dam by itself. It has issued a bond targeted at Ethiopians in the country and abroad to that end. The turbines and associated electrical equipment of the hydropower plants costing about US$1.8 billion are...
Back
Top Bottom