Haa hayo ni mawazo ya useless bugger..majaliwa yuko vizuri ni typinng error tu. Najua 1993 alikuwa UDSM na baadaye University of Stockholm...Uzoefu wa serikali kama Mhe DC lakini fani anaijua mojawapo ya viongozi wa CWT wenye mafanikio makubwa uliza Singida huko.
Maauzi yenye ya maslahi ya kitaifa ya namba hii yanahitaji busara...polisi wanahitajka kulinda Usalama wa Raia na Mali zao wakati wa maandamano na wakati huohuo kuhakikisha ziara ya kitaifa inafanyika bila bugudha.
Huu ni wakati wa kufanya maamuzi makini.....naibu waziri ameonesha mfano....kwa kweli mimi nimekuwa nasubiri kwa muda mrefu kuona yatokee hatimaye faraja imefika
nafikiri alistahili habari kutoka chanzo hakika ni kuwa mwalimu huyo amekuwa na mapungufu mengi
1.kabla hajahamia mkomazi huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.