Recent content by Ngamia64

  1. N

    DC Petro Magoti: Tumekamata gari kutoka Mbezi lenye watu 50 waliokuwa wanakuja Kisarawe kununua ardhi kwa laki 2

    Ah! Jamaa ni shosho kweli. Tangu lini kuuza au kununua viwanja ni kosa? Anataka sikose soko, azihodhi mwenyewe.
  2. N

    NEMC yabainisha madhara ya matumizi ya plastiki, yatoa wito wa kuchukua hatua kudhibiti athari za mazingira

    Vipi kuhusu kelele za matangazo ya spika za wamachinga hususan maeneo ya sokoni , mitaani, na magari ya kutangaza biashara? Hivi NEMC hawasikii hizi wakipita Ilala Uwanja wa Karume au Buguruni ? Yaani spika zimejazana kwa sauti kubwa mpaka hakuna hata moja ambayo inasikika. Hizi zinaathiri...
  3. N

    Ubalozi wa Azberjan

    Wapo Ethiopia na South Africa. Wa Ethiopia hawajibu simu wala email..Kazi kwako.
  4. N

    Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?

    Mfumo huu wa biashara inaitwa DOLLAR STORE yaani takriban Shs 3000 na yapo nchi nyingi duniani. Wanapata faida kutokana na uwingi wa vitu wanavyouza ambazo ni vitu vidogo vidogo
Back
Top Bottom