Ahsante ndugu mwandishi. Naitwa James ni tour guide hapa Zanzibar so far nina plan ya kutoka hapa kwenda Bagamoyo kufanya utalii wa ndani na kwa sasa umenipa mwanga.
Ahsante sana..
Tarehe 9.april.24 nitaanza safari, anaehitaji ku_join anakaribisha sana. Anicheki kwa e_mail yangu
Karibuni pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.