Recent content by ngalakeri

  1. ngalakeri

    PreGE2025 CHADEMA kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi

    Siasa ni akili, don't make a grave mistake, bado CCM itakuwepo sana.
  2. ngalakeri

    Sheikh Mwipopo: Kanisa Katoliki liliongoza mauaji ya kimbari Rwanda, Burundi na Congo, alionya kupandikiza roho ya chuki za kidini Tanzania

    Hebu tukumbushane RC walitoa tamko gani kipindi cha mwendazake hata Askofu wao aliponyang'anywa passport!
  3. ngalakeri

    PreGE2025 Sasa CCM imepata mpinzani wa kweli tangu 1992-2025 CHADEMA chini Tundu Lissu

    Lissu ni mwepesi kuliko tissue paper, ni mbwekaji lkn sio mvumilivu na mwepesi sana kuingia kwenye jinai yeye mwenyewe au kuingiza wengine. Muda utaongea, atakuwa amekimbilia ubelijigi.
  4. ngalakeri

    PreGE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

    Hicho chama kili survive kwa kuwa Mwenyekiti alikuwepo, tabia yake ya kukimbia kimbia nje ya nchi kila akipata changamoto kidogo, kuna siku chama kitakosa mwenyekiti kwa muda usiojulikana.
  5. ngalakeri

    Ushauri CCM kumjibu Jaji Warioba itakuwa kukosa adabu na kudharau Wazee wa Taifa hili

    Mjinga atakibiwa sawa na ujinga wake, mzee anajua hilo, ila kwa desturi CCM usipojibiwa umedharauliwa . Kama ni kushauri taratibu anazijua vema kama sio kujitoa ufahamu.
  6. ngalakeri

    Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

    Kwa maneno yako haya hata post yako haina maana tena. Kwa lugha yako chafu huna moral authority kulisemea kanisa, hebu kajipange upya, wakatoliki hawako hivyo, rudi kwa aliyekutuma.
  7. ngalakeri

    Marekani yaridhishwa na mageuzi ya kiutendaji ya Serikali ya Rais Samia

    Sina uhakika kama leo walipata usingizi.
  8. ngalakeri

    Kutoka Kenya: Mchakato wa wenzetu kumng'oa Naibu Rais unaumbua ubovu wa katiba yetu

    Katiba inanitosheleza, kwa mfano mnataka kumtoa nani! Utaratibu wa kumtoa Rais upo wazi, sembuse DP na MP!
  9. ngalakeri

    TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

    Mjue sana Mungu ili uwe na amani na hapo ndipo mema yatakapokujilia.
Back
Top Bottom