Recent content by ngalakeri

  1. ngalakeri

    Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

    Huu ndio upuuzi ambao kweli sielewi unafanyika kwa sababu gani, kuna mambo ambayo yanaweza kuwa classified secret lkn hili si miongoni mwa mambo hayo. Utafikiri eti wananchi ni wajinga wasiojua kutafakari mambo, VP sio mimi wala dereva wa boda boda. Wananchi wanapaswa kujua habari zake tena kwa...
  2. ngalakeri

    Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

    Vyovyote vile lkn Dr. Mpango ni kiongozi muhimu sana kwa nchi yetu wakati uliopita na hasa sasa, ameenda nje kikazi au anaumwa tuzidi kumuombea afya njema na maisha marefu kwa ustawi wa nchi yetu. Yule mzee anapoongea anapoagiza, anapoelekeza, anaposhauri unaona kabisa yanatoka ndani ya moyo...
  3. ngalakeri

    Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133

    Ulitaka afanyeje zaidi ya kutoa pole, kutoka maelekezo kwa vyombo vyote kutoa kila msaada unaohitajika!
  4. ngalakeri

    Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana

    Hebu tafuta kwanza mwalimu wa kiswahili akusaidie kuweka taarifa yako vizuri.
  5. ngalakeri

    Lema: Kuna Vijana walitaka kuiba Mwenge Arusha wakaukosa, nilisikitika sana

    Labda waamue kumpuuza tu, lkn kwa kauli hiyo anapaswa kusaidia vyombo juu ya njama hizo. My take, kuwa watu wanapenda kujitafutia matatizo eti wakilia waonewe huruma!
  6. ngalakeri

    Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

    Now you are misleading us. Vipengele vyote ulivyovitaja muda wake ulikuwa bado haujafika. Hata hivyo nikiri, maoni ya wananchi yamesaidia sana Serikali kuwa makini kwenye hii hatua ya pili.
  7. ngalakeri

    Kwenye Siasa chochote kinaweza kutokea RC Paul Makonda anaweza kutumika kwenye Uchaguzi na baadae akaachwa

    Katibu wa Itikadi na Uenezi ni mmoja tu ndio huyo aliyeteuliwa. Wengine wote ni Makatibu Waenezi period, hakuna Itikadi. Namna ya pili ya kumtofautisha na wengine mwisho unaweka -Taifa.
  8. ngalakeri

    Kuzuia kongamano la wanaharakati Mwanza ni udhaifa kwa CCM na Serikali

    Hawana jukwaa, labda wakaribishwe jukwaa la TEC.
  9. ngalakeri

    Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

    Kama kikao Cha Siri wewe umejuaje! Au na wewe ulikuwepo, sio?
  10. ngalakeri

    Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

    Mdude ajiandae kupanda kizimbani, hizo ndio anga za Tulia.
  11. ngalakeri

    Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

    Mpaka Marekani masikini wapo. Kumbuka maoni ya wanafunzi wa Yesu juu ya mafuta ya thamani kubwa sana yule kahaba aliyotumia kufuta miguu ya Yesu badala ya mafuta hayo kupigwa bei na fedha hizo kwenda kusaidi masikini. Yesu aliwaambia masikini mnao siku zote. Kadri uchumi unavyokuwa gape la...
  12. ngalakeri

    CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

    Tayari tumeshaingia huko, mkuu tuliza mshono, acha mama arekebishe nchi, tulisharudi nyuma karibu muongo mmoja, hapo nakubaliana na Jenerali Ulimwengu.
  13. ngalakeri

    Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

    Wewe hujisikii vizuri kupigania haki ufe, mbona unamng'ang'niza mwenzako!
Back
Top Bottom