Huu ndio upuuzi ambao kweli sielewi unafanyika kwa sababu gani, kuna mambo ambayo yanaweza kuwa classified secret lkn hili si miongoni mwa mambo hayo. Utafikiri eti wananchi ni wajinga wasiojua kutafakari mambo, VP sio mimi wala dereva wa boda boda. Wananchi wanapaswa kujua habari zake tena kwa...
Vyovyote vile lkn Dr. Mpango ni kiongozi muhimu sana kwa nchi yetu wakati uliopita na hasa sasa, ameenda nje kikazi au anaumwa tuzidi kumuombea afya njema na maisha marefu kwa ustawi wa nchi yetu. Yule mzee anapoongea anapoagiza, anapoelekeza, anaposhauri unaona kabisa yanatoka ndani ya moyo...
Labda waamue kumpuuza tu, lkn kwa kauli hiyo anapaswa kusaidia vyombo juu ya njama hizo.
My take, kuwa watu wanapenda kujitafutia matatizo eti wakilia waonewe huruma!
Now you are misleading us. Vipengele vyote ulivyovitaja muda wake ulikuwa bado haujafika. Hata hivyo nikiri, maoni ya wananchi yamesaidia sana Serikali kuwa makini kwenye hii hatua ya pili.
Katibu wa Itikadi na Uenezi ni mmoja tu ndio huyo aliyeteuliwa. Wengine wote ni Makatibu Waenezi period, hakuna Itikadi. Namna ya pili ya kumtofautisha na wengine mwisho unaweka -Taifa.
Mpaka Marekani masikini wapo. Kumbuka maoni ya wanafunzi wa Yesu juu ya mafuta ya thamani kubwa sana yule kahaba aliyotumia kufuta miguu ya Yesu badala ya mafuta hayo kupigwa bei na fedha hizo kwenda kusaidi masikini. Yesu aliwaambia masikini mnao siku zote. Kadri uchumi unavyokuwa gape la...
Tayari tumeshaingia huko, mkuu tuliza mshono, acha mama arekebishe nchi, tulisharudi nyuma karibu muongo mmoja, hapo nakubaliana na Jenerali Ulimwengu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.