Recent content by ngajilejomwejo

  1. ngajilejomwejo

    CHADEMA yazipelekea barua balozi za Marekani na Ujerumani kuhusu tuhuma za Musiba kwamba zinaihujumu Tanzania

    Akili kumkichwa, kwani hvyo vyombo vya usalama havijaona hyo msiba alichofanya? Ingekuwa ni akina lema ndo wameongea hzo pumba sahz wangekuwa ndani kwaajili ya usalama wao.
  2. ngajilejomwejo

    Alloyce Nyanda: Maisha ya Nape na Kinana tuyatumie kama funzo kubwa kwetu Vijana!

    [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. ngajilejomwejo

    Msaada gari imegoma kuwaka

    Acha kudanganya Watu mkuu, suala la fen kuzunguka gari ikiwa switch on inategemea na aina ya gar
  4. ngajilejomwejo

    Msaada gari imegoma kuwaka

    Lazima itakuwa fuse ya tair spea
  5. ngajilejomwejo

    Askofu Kakobe: Usalama wa Taifa msihangaike nami. Adai kuna kiongozi kavaa hirizi!

    shetani anawakati mgumu sana, Dunian anazidiwa nguvu na Mungu na mbinguni ndo hatakiwi kuweka hata pua yake, ona ile ya shetani walio mpiga lissu risas Mungu kawashinda tena.
  6. ngajilejomwejo

    Uongo gani wa mwanasiasa uliovunja rekodi kwa mwaka 2017?

    Kwani huo ni uwongo? Me naona kuna kaukweli flan hapo
  7. ngajilejomwejo

    CCM wamemchukua Askofu Pengo, Mungu ametupa Dr. Munga, Niwemugizi na Dr. Shoo

    Pengo amekula maharage pori yale yenye sumu kali yanaitwa ukitaka kuyapika start uyaloweke wiki nzma.. Yanaitwa MANGATUNGU.
  8. ngajilejomwejo

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    Lakini yana mwisho,,,, kwani enz za kina Robert Mugabe ilikuaje, leo yuko wap?
Back
Top Bottom