Mimi naitwa Emmanuel nipo hapa mkoani mbeya mimi ni mwandishi wa habari mwenye uzoefu wa miaka mitano Sasa...
Kutokana na changamoto za ajira nimeona fursa nyingine ambayo ipo ndani ya tasnia hii ya habari, Ni upigaji wa picha ili kujiingizia kipato na kupiga hatua Kama kijana...!
Changamoto...
Mimi naitwa Emmanuel nipo hapa mkoani Mbeya mimi ni mwandishi wa habari mwenye uzoefu wa miaka mitano Sasa...
Kutokana na changamoto za ajira nimeona fursa nyingine ambayo ipo ndani ya tasnia hii ya habari, Ni upigaji wa picha ili kujiingizia kipato na kupiga hatua Kama kijana...!
Changamoto...
Kwa upande wa tasnia hii ya habari kweli kunachangamoto hii ya kujitolea... Siwezi kukubali maana nimejitolea kwa muda mkubwa sana.... Ndio maana imefikia muda natamani nifanye kazi nyingine tofauti labda itasaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.