Nimebobea hasa katika utangazaji wa redio.... Lakini nipo tayari pia kufanya yoyote halali...!Umeegemea upande upi kwenye taaluma yako?
Location.Nimebobea hasa katika utangazaji wa redio.... Lakini nipo tayari pia kufanya yoyote halali...!
Nipo mbeyaLocation.
Nipo mbeya
Kama anasauti ya kuwa narrator.... Wa documentery....kwenye online TV amepata bado kupewa tu.Umeegemea upande upi kwenye taaluma yako?
Katika uzoefu wangu hapo juu nimekuwa nikifanya kazi redioni kwa muda huo... Kama ujuavyo changamoto ni kubwa sana nahitaji kubadili mazingiraPole sana kwa changamoto yako, Mbeya ni mojawapo ya eneo lenye idadi kubwa ya vyombo vya habari (electronic media) vipi hujafanikiwa kutembelea media za huko au hutaki kufanya kazi kwenye taaluma yako kwa sasa?
Sauti ninayo na naamini ni nzuri.... Nahitaji msaada nitafanya kwa bidiiKama anasauti ya kuwa narrator.... Wa documentery....kwenye online TV amepata bado kupewa tu.
Sawa mkuu, nadhani unafahamu ugumu wa ajira kwa sasa. Hata ukisema upate mazingira mengine tofauti na hayo watakutaka uanze kwa kujitolea wakati wakitazama uwezo wako.Katika uzoefu wangu hapo juu nimekuwa nikifanya kazi redioni kwa muda huo... Kama ujuavyo changamoto ni kubwa sana nahitaji kubadili mazingira
Kwa upande wa tasnia hii ya habari kweli kunachangamoto hii ya kujitolea... Siwezi kukubali maana nimejitolea kwa muda mkubwa sana.... Ndio maana imefikia muda natamani nifanye kazi nyingine tofauti labda itasaidiaSawa mkuu, nadhani unafahamu ugumu wa ajira kwa sasa. Hata ukisema upate mazingira mengine tofauti na hayo watakutaka uanze kwa kujitolea wakati wakitazama uwezo wako.
Hilo umejipanga vipi kukabiliana nalo. (mfano ukahitajika Mwanza)
Kwa upande wa tasnia hii ya habari kweli kunachangamoto hii ya kujitolea... Siwezi kukubali maana nimejitolea kwa muda mkubwa sana.... Ndio maana imefikia muda natamani nifanye kazi nyingine tofauti labda itasaidia
SawaHebu ambatanisha hapa kipindi hata cha dakika 5 mkuu, kama utaweza kufanya hivyo.
Naomba nifanye hili baadaye kidogo nipo mtaani kwa sasaSawa
Naomba nifanye hili baadaye kidogo nipo mtaani kwa sasa
Tunasubiri...Naomba nifanye hili baadaye kidogo nipo mtaani kwa sasa
Ulishawahi kufanya kazi redio gani hapo mbeyaNaomba nifanye hili baadaye kidogo nipo mtaani kwa sasa
Wakuu najaribu kuattach audio nashindwaTunasubiri...
BARAKA FMUlishawahi kufanya kazi redio gani hapo mbeya