Recent content by neym8990a

  1. N

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Bei ya kuunganishiwa umeme kwa wakazi wa vijijini imeshuka sana na sasa ni shilingi 27,000/= ndani ya mita 30 kwa single phase tu.. kwa maelezo zaidi fika ofisi yoyote ya tanesco
  2. N

    JamiiForums Tanzania CAG aongea na Wanahabari. Serikali Kuu kulikuwa na mapendekezo 91, mawili tu ndiyo yametekelezwa, neno "dhaifu" kuendelea kutumika

    kama heading inavyojieleza, nmegundua hii report illichotolewa na CAG ni kama kumsaidia Rais kujua wapi na nani aliepewa mamlaka akafanya madudu ashughulikiwe. kama tunavyojua Rais wetu hapendi mambo ya longolongo.. otherwsie Tanzania imepiga maendeleo makubwa sana na bado tutaendelea kujisifia...
  3. N

    JamiiForums Tanzania RIPOTI YA CAG: Miradi 27 yenye thamani ya Sh. 5,242,553,134 ilikamilika katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 16

    Katika tathmini ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo nilibaini baadhi ya mambo kama yanavyoonekana hapa chini: Miradi 27 yenye thamani ya Sh. 5,242,553,134 ilikamilika katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 16,
  4. N

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaoshinikiza migomo duniani kwanini hawakai mstari wa mbele kwenye tukio?

    labda watu wamegundua pengine waanzishaji ni wabinafsi
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaoshinikiza migomo duniani kwanini hawakai mstari wa mbele kwenye tukio?

    hahaha dah.. kwahyo unakua unasikilizia nn kitawapata..
  6. N

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaoshinikiza migomo duniani kwanini hawakai mstari wa mbele kwenye tukio?

    afu ww unabaki nyuma unawachek tu?
  7. N

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaoshinikiza migomo duniani kwanini hawakai mstari wa mbele kwenye tukio?

    ndio maana nimeona niulize waziwazi hapa
  8. N

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaoshinikiza migomo duniani kwanini hawakai mstari wa mbele kwenye tukio?

    Nimekaa chini nikatafakari, mara nyingi tumekuwa tukiona watu wakishinikiza wengine wafanye migomo. Utakuta kuna baadhi ya watu pengine hata viongozi wanaongelea migomo na kuwalisha watu sumu lakini hata mara moja hawa watu waga hawaonekani eneo la tukio, kwanini? Kwanini umtamgulize mtoto wa...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Kamanda Muroto apuuzwa, maandalizi ya maandamano ya amani yaendelea kama yalivyopangwa

    yan hii makala ilivyokua ndefu nashangaasikuona watu mtaani.. hahah jaman watu wana mbwembwe nyingi mtandaoni sana ila ikija kwenye swala la action wanaviziana.. lol #hapakazitu maandamano labda nyumban kwenu huko
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema afungiwa Mikutano 3 ya Bunge

    kuna wakati najiuliza hivi ni kweli ushujaa wa mtu unatokana na mtu kuonyesha ukaidi wa wazi kwa mantiki eti ya kusimamia ushujaa wake.. sioni ni jinsi gani unakua shujaa baada ya kukoseshwa vikao vya bunge wakati wananchi wa jimboni wamekuchagua ukawe kama msemaji wao na badala yake karibu...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Viwanda zaidi ya 3600 vimejengwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

    who said gongagonga ya mabati n kiwanda?, and well maybe viwanda vinaanza hivyo hivyo mfano hizo kushona cherehani eventually inaeza ikawa textile factory napo utasema hakina maana?? unadhan nchi zingine watu walianzaje wenye investment zao kubwa?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Viwanda zaidi ya 3600 vimejengwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

    acha kukariri Retired
  13. N

    JamiiForums Tanzania Viwanda zaidi ya 3600 vimejengwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

    sawa labda wanazindua huoni hata hiyo ni development maana vingine vilishakufa na sasa vimezinduka vinafanya kazi.. thats something
  14. N

    JamiiForums Tanzania Viwanda zaidi ya 3600 vimejengwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

    ndio tuseme hivyo hivyo kwa ulipoishia wewe kufikiria
Back
Top Bottom