Nimekaa chini nikatafakari, mara nyingi tumekuwa tukiona watu wakishinikiza wengine wafanye migomo. Utakuta kuna baadhi ya watu pengine hata viongozi wanaongelea migomo na kuwalisha watu sumu lakini hata mara moja hawa watu waga hawaonekani eneo la tukio, kwanini?
Kwanini umtamgulize mtoto wa mwingine akaumie kwa ajili ya kitu ambacho kitamnufaisha mwingine?
Ila yote tisa kumi ni zile mbwembwe za jana mitandaoni sikutegemea leo ingekuwa kimya..lol
Kwanini umtamgulize mtoto wa mwingine akaumie kwa ajili ya kitu ambacho kitamnufaisha mwingine?
Ila yote tisa kumi ni zile mbwembwe za jana mitandaoni sikutegemea leo ingekuwa kimya..lol