Yaani hapo unakuwa husaidii chochote kipenzi zaidi utakuwa unaongezea shida tu sometimes mwanaume akiona unampigia kelele sana hawezi hata kujirekebisha but ukilifanya jambo kwa busara na wao wana roho pia kuna kukumbuka mazuri yako na kusema why namcheat mke wangu wakati yupo hivi inshu...
Naendelea na hamsini zangu zaidi tu nitamsalimia aone kama nilimuona vizuri na hii itakuwa dawa na fundisho kwake kubwa sana maana ukianzisha fujo hapo kuna kupigika na vurugu zingine ...mengine tutakuja kuyamaliza wenyewe nyumbani
Mlipe hela yake tatizo hamjui kuomba unaomba kukopeshwa na angali hauna mpango wa kurudisha sema mama fulani nisaidie kiasi kadhaa cha pesa atoe kwa moyo mmoja sio nikopeshe alafu kunirudishia inakuwa shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.