Recent content by Neyahoo

  1. Neyahoo

    Fahamu Kuhusu Outsourcing and Managed Ventures

    Sorry nmechelewa kujibu lkn unaweza kuoutsource kwa campuni moja ikufanyie kila kitu au izo department unaoutsource kwa campuni tofauti tofauti? Mfano marketing unaoutsource kwa campuni A, HR kwa campuni B, product development kwa campuni C, wewe unabaki na management tu au management nayo...
  2. Neyahoo

    Urgent! Natafuta chuo Marekani kisichoomba IELTS/ TEOFL nikasome masters

    Karibu Cari Vision Study Abroad Tutakusaidia kufanya udahili na process zote zinazohusiana na kwenda kusoma nje. Call 0677300030 WhatsApp 0677300030
  3. Neyahoo

    Kwa ufaulu huu naweza kusoma Petroleum Geology?

    Baadhi ya vyuo vya nje vinatoa foundation kwa wale ambao hawajakidhi vigezo na wanataman kusoma hiyo course. Karibu tukuunganishe na vyuo vya nje ya nchi utilise lengo lako Call 0677300030 WhatsApp 067700030 Au fika ofisi za Cari Vision Study Abroad Universities, zipo Victoria Dar es Salaam...
  4. Neyahoo

    Msaada kuhusu kusoma kwa Njia ya Masafa (Distance Learning)

    CARI VISION STUDY ABROAD UNIVERSITIES LTD Ni taasisi inayohusika na kuunganisha wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali nje ya nchi. Iwe online au in campus tunakusaidia. Call 0677300030 WhatsApp 0677300030 Karibu sana
  5. Neyahoo

    Kwanini wanaume wanaweza kuhudumia wanawake hata watano, wazazi na watoto na bado wakawa sawa lakini wanawake wanashindwa?

    Hii ni social construction history ya centuries, mwanaume ndio ana advantage zaid kwenye system za uchumi wa hii Dunia, mwanamke hata akiwa na hela hatapata connection za kuzalisha kile alichonacho kirahis Kama mwanaume, uchumi wa Dunia umeshikiliwa na mwanaume na Kama ilivo nature ya binadamu...
  6. Neyahoo

    Fahamu Kuhusu Outsourcing and Managed Ventures

    Duh hiyo FOO inakiwaje? Yan operation nzima unaachia watu wengine au Kila department una outsource kwa watu tofauti. Ebu fafanua vizuri mkuu Yani ukiachia wengine Kila kitu wewe utajiaje mwenendo wa kampuni yako?
  7. Neyahoo

    Jinsi ya kushiriki katika Uwekezaji Huria (Venture and Angel Investment)

    Hii idea imesukwa vizuri Sana, tatizo ni jamii tuliyopo watu wanaelimu ndogo Sana kuhusiana na uwekezaji. Vicoba kuwa venture capital firm inaweza ikawa fresh Ila swali ni itafanyikaje Sera na Sheria za nchi zinazungumziaj vicoba vinafanyika zaidi na wajasiriamali wadogo wenye elimu ndogo Sana...
  8. Neyahoo

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Jaman naomben vitab hivi 1. Interprenuership for dummies by Kathleen Alen 2. Fishers investment in consumer descretionary by Eric Renaud and Andrew Taufel 3. Fishers investment in healthcare by Andrew Taufel and Michael kelly
  9. Neyahoo

    Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

    Dah kweli asee Da kweli asee umeona mbali hahaha,Hawa panya road wanatukwamisha sana
  10. Neyahoo

    Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

    Mazingira ndugu ,huku Sera ni mbovu hawasaport inovation gundua kitu uone utakavyodaiwa vibali Kama vyote,halaf mda huo hauna nguvu kiuchumi. Pia matajiri wetu hawana mwamko wa kuwekeza kwenye talent km izi wengi wanakimbilia kwenye intertainment miziki mpira ndio utasikia tajir flan kaweka...
  11. Neyahoo

    Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

    Najua zipo mfano Ile hospitali ya china iliyojengwa ndani ya wiki moja kwa ajili ya Corona,mm nazungumzia kuhusu kujenga hizi nyumba kibiashara
  12. Neyahoo

    Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

    Ahaa kumbe jamaa nae analamba asali kiwest zaid😁😁
  13. Neyahoo

    Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

    Wakati watu wengine wakipata utajiri wanawaza kuspend as much as they can au asipospend Basi atawekeza zaidi kukuza utajiri wao lakin Elon musk yupo kivingine huyu jamaa Ana vision ya hali ya juu Sana badala ya kuongeza product ambazo zitawanyonya wanyonge ili yeye abaki juu kama wanavyofanya...
  14. Neyahoo

    Automating Democracy - The Real Power to the People

    Nasikia nchi ya Estonia tayari wameanza kutumia decentralized government Sipati picha ilivo amazing,but it need time to adjust
  15. Neyahoo

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Jaman naomben soft copy ya hivi vitabu The gods equation:quest for theory of everything. Na The future of the mind Vyote vimeandikwa na physist Michio Kaku
Back
Top Bottom