Baba yangu mkubwa kastaafu mwaka jana, alipewa mafao yake nusu kutoka LAPF ikawa imebaki serikali kuu.
Sasa jana kapigiwa na na mtu anadai yupo hazina akamtajia process zote mpaka jina mwaka aliozaliwa, cheki no akamwambia hela zake anazofatilia zimetoka na kiasi akamtajia na akamwambia mwaka...
ilikua ni uchumba tu ambao tulijua tutaishia ndoa kwani tulitambulishana pande zote mahal kwetu alitoa nikaja kujua amempa mimba bint mwingine tukiwa ndan ya uchumba ikapelekea kukosana na kuahilisha process zote za ndoa. so kila mtu anaishi kivyake na ni mikoa tofauti
Ni bora uwe na masiliano ya karibu na mzazii mwenzio au bora muwasiliane mara 1 kwa mwezi? Maana mzazi mwenzangu ananipigia x3 kwa siku kila siku na wala haonyeshi dalili ya kuishi na mimi.
Hii hali inaniumiza sana naona bora nimuulize kama hana mpango/ hanipendi ni bora tukawasiliana mara 1...
inawezekana kweli molembe lakini kwann kwa ujauzito kanifanyia vituko sana kanituka nimejifungua hakua na shida hata ya mtoto na kwa wenzangu hivyo hivyo lakini mtu ukimuona tu hasira zinaisha kabisaa da!!!
Nilikua siamini ushirikina lakini sasa naanza kushtuka sielewi huyu jamaa ni mchawi ama, katuzalisha wanawake 4 wa 1 kashaolewa, sasa sisi tuliobaki 2 tunamawasiliano mazuri tu huwa tunapigiana simu cha ajabu huyu jamaa akienda kwa yule anamdanganya simtaki fulani nimeachana nae yule anampa...
Wanawake wenzangu naomba tumshauri huyu binti,
Ni mdada wa miaka 29 sasa alizaa na mwanaume walikua na ahadi ya kufunga mambo ya liingiliana lakini process zote tayari kasheshe inakuja wakati binti anachumbiwa jamaa alimwambia anamtoto wa 7years bint akakubali kumbe kuna mwanamke tena...
Tumuite jina A alizaa na jamaa kabla ya hapo alichumbiwa wakatambulishana kwa wazazi pande zote 2 mahali nusu ukatoka ndoa ilikua iwe last year may. A kapata ujauzito kabla ndoa mzazi wa mwanaume mchungaji kagoma kufungisha ndoa mjamzito mpaka ajifungue, kumbe wakati A anachumbiwa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.