Recent content by Ney Aziz

  1. Ney Aziz

    CCM ni Chama chenye uwezo thabiti wa kuiongoza Dola ya Tanzania

    Jina lako linaonyesha unahitaji ushauri nasaha.
  2. Ney Aziz

    GE2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

    Wameshindwa kufanya uchaguzi huru na wa haki kwao wanataka kutupandikizia mamlukiii!!!Hatutakiiiii!
  3. Ney Aziz

    GE2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

    Ndugu Mtanzania Mwenzangu kwa pamoja tuna jukumu la Kuchagua Kiongozi ambaye ataweka mbele maslahi mapana ya Taifa letu na mwenye nia ya dhati ya kuliletea Maendeleo Taifa letu..Tuungane kwa Pamoja tukampigie Kura Ndugu Dr.John Pombe Magufuli ambaye ameonyesha dhahiri maono yake na uwajibikaji...
  4. Ney Aziz

    GE2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

    Hawa ni Matapeli wa Kisiasa tu...Rais ni Dr.Magufuli na Dr.Mwinyi wengine hawana cha kutuambia
  5. Ney Aziz

    GE2020 Maajabu ya kampeni CCM Arusha, Joshua Nassari aubamiza Upinzani

    Upinzani hawana jipya kwa sasa...🚮 Magufuli anatosha kuwa Rais wa Tanzania...Tumpe Mitano tena
  6. Ney Aziz

    GE2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

    Chagua Magufuli ndo habari ya maana kwa sasa
  7. Ney Aziz

    GE2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

    Si kweli,chama cha Mapinduzi kina utaratibu mzuri sana wa kutoa maelekezo kwa wagombea wake na viongozi huwa wanazikaugua kabla hazija wasilishwa sehemu husika...Lakini Upinzani hata ofisi hawana kila mmoja anafanya lake ..
  8. Ney Aziz

    GE2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

    Kwani Anti-Li yeye anasemaga aje.???
  9. Ney Aziz

    GE2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

    Hahhaha....Ni wivu tu...Tanzania wafuasi wa upinzani ni kama wamedata 🤣🤣nadhani ndo wale ukimgusa mkono anasema achia kichwa changu.....nawe utakua miongoni mwao
  10. Ney Aziz

    GE2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

    Mbowe ni Mwenyekiti kuanzia Chama kimeanza ,wengine wakionyesha wanataka hiyo nafasi wanapotezwa
  11. Ney Aziz

    GE2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

    Hahhaha.. MBONA WAPO WALIOMSIMAMISHA MGOMBEA NA LEO WANAMKANA....!!!🤣🤣🤣Upinzani wa Tanzania ni zaidi ya kirusi wamekaa kuharibu kila kitu...Huwezi fanya nao lolote la maendeleo
  12. Ney Aziz

    GE2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

    Wafanyakazi wanaolilia madaraja ndo hawafanyi kazi ,wategeaji walizoea rushwa na janja janja....Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi Mafanikio ni hatua
Back
Top Bottom