Recent content by NextPresd

  1. N

    PostGE2025 Mnyika, Japo Uchaguzi Sio Huru, Wa Haki na Halali, lakini Usimwite Rais Haramu!. Baada ya Kuapishwa ni Rais Halali Kisheria japo Sio Ki Haki!

    Ma.nyo.kolooooo wewe mjaaa laana mkubwa! Njaaa imekuingia tumboni hadi unashindwa kujielewa . Jitu zima unalamba masaburi ya samuya? Big shame on you dude
  2. N

    PreGE2025 Bunge la Ulaya kufanya kikao cha dharura Mei 7, 2025 kujadili suala la Tundu Lissu, baadae kupiga kura Mei 8, 2025

    Poor government under poor government leaders! I stand up with TAL and the European Parliament!
  3. N

    Jionee tofauti ya Miradi kati ya Jeshi la Ethiopia na Jeshi la Tanzania

    Stupid government under stupid government leaders
  4. N

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Zaaa wa kwako! Ulitaka mtu wa 45 years akae akusubirie wewe? Yaani wewe hujielewi
  5. N

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Yaaani kweli wewe ni bonge la kilaza....watoto watano akuoe nani? Ni hivi mimi hata mwanamke awe na mtoto mmoja siwezi kukubali sembuse watano. Unachoshindwa kuelewa ni kuwa mwanaume anaoa, wewe unaolewa. To cut the story short: ACHANA NA HUYO MWANAUME HUMFAI NA HUFAI KUWA MKE WA MWANAUME...
  6. N

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Umemaliza bro! Huyu mwanamke anaonyesha yupo kimaslahi zaidi na hana upendo wala uhitaji wa mume wake wa kujenga nae familia. Ni toxic in marriage! Hilo ni gunia la misumari hakuna wife hapo
  7. N

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Noted my sweetheart ila sisi kwa tulipofikia Mungu ataendelea kutubariki na kusimama upande wetu mke wangu mpenzi
  8. N

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Nikupe ushauri wa bure tu, mwanamke akishavunja ungo huyo tayari ni mtu mzima. Wewe maamuzi ni yako kama unaona utakuwa sehemu salama basi funga nae ndoa akuoe. Kimsingi ipo hivi: gari bovu(huyo mumeo) huvutwa na gari nzima (wewe). Huwa namshangaa sana mwanamke anayemkuta mwanaume ana...
  9. N

    Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Waooo thank you my wife 🙏🙏😘😘 Please nifungulie mlango
  10. N

    Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Hilo kwangu sio tatizo kabisa as I told you before, moyo wangu ulishakupenda na akili na moyo vyote vimekuwa na ushirikiano wa asilimia 💯 katika kufanya maamuzi sahihi kabisa juu yako mke wangu mpenzi. In short, hata ungesema upo ulaya au upo kaunti ya nyeri au kisumu nipo tayari mke wangu...
  11. N

    Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Kwa sababu moyo wangu ulishafanya maamuzi sahihi ya kukuoa wewe as my super wife sioni sababu ya kuendelea kusubiria mmakonde wa mtwara, kifupi wewe watosha my wife 😘
  12. N

    Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Usinifanyie hivyo bana sio mke wangu mpenzi ujueee! We need to have a stable family and focus life together ❤️ 😘 Hata nikitoa ng'ombe 30 hazitakuwa na faida kwako zaidi ya show off tu kwa ndugu na marafiki kuwa wewe ni expensive kwa sababu umelipiwa na mimi mume wako mahari ng'ombe 30 but it...
  13. N

    Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Halafu wewe njoo kwangu nikuoe bana ujue kiukweli nakupenda sana mtoto mzuri. Please ukisoma huu ujumbe wangu naomba tuwasilane mke wangu mtarajiwa. Hopefully we may keep in touch and bond together 🥰🙏
  14. N

    Natafuta mwanamke wa kuoa - Mtwara mjini

    Ni kweli kabisaa naamini hapa nitakuja kupata mwanamke bora na ambaye tutaweza kujenga familia bora na kuwa na furaha. Mungu aendelee kusimama upande wangu na mzidi kuniombea
Back
Top Bottom